joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Kwa mpira huu hizo mechi zenu za shirikisho........ mnaweza kupasuka vibaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchezaji unaandika jina HD dah, kazi ipo
We ubingwa ulikuwa wa michongo lini umewahi sikia timu Ina viporo 10+Kweli uvumilivu unahitajika, hii hali tunayoipitia Simba kwa sasa waliyoizoea ni utopolo peke yao, wamekosa ubingwa miaka mingi mpaka wamekuwa sugu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yani mnategemea wale wazee wawakomboe!Wale wazee kina Mzee Dalali walifikia wapi ile kamati yao.
Mi sijasema kua ni kosa, najaribu kuelezea situation ya uwanjani watu ambao wako mbali na screen wajueNi kosa kisheria za soka ama
Mbona simba wote wanaenda shambulia husemi
Kabeba zake sio za timuUnamfukuza vipi mbeba hirizi wa timu
Za timu mkuu, kwani mganga wa nyau ni nani kama sio matolaKabeba zake sio za timu
Rafiki naona imani zinaanza kuwatoka munahamia kwenye shirki. 😂😂😂We acha tu yaani hapa siamini ninachokiona
Sawa eleza pia simba wanaenda mbele wote kitu kinacho wafanya mbeya kwanza kurudi nyuma na wenyeweMi sijasema kua ni kosa, najaribu kuelezea situation ya uwanjani watu ambao wako mbali na screen wajue
Kweli kabisaHii mechi imetoa sura halisi ya technical bench ya simba..