mzee wa bwaksi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 2,255
- 3,972
Refa tupe tu na hilo goli maana ndio uwezo wetu ulipobakia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Refa utukumbuke tafadhali. Tuminyie kapenati hatutakuangusha
Bado unacheka au umenuna tayari 🤣🤣Rafiki naona imani zinaanza kuwatoka munahamia kwenye shirki. 😂😂😂
Kubalini tu wachezaji wenu utulivu hawana wakifika kwenye 18.
Offside Bana, sio goliNaona leo tumebebwa kivingine
Eleza kwa nini sio halali?Kwani mtakubali?
We mchawi upo? Simba wewe, Yanga wewe umekuwa popo?Ndio mkuu mbeleko ndio kawaida yetu
Offside halali kabisaGoli la mbeya kwanza limekataliwa
Mkishaonaga Simba wanawapumulia kisogoni huwaga mnaibua hoja gesi kama hizi kuwa wanabebwa!Kwani mtakubali?
Ila ya simba vp?Offside halali kabisa
Kama kuna jinga huwa silipendi basi ni hilo. Hili li Mugalu lilishafeli since day one linasajiriwa pale Simba. Kule Zambia lilikuwa limewachosha wakalipiga chini,eti sisi ndo bado tunaliamini.Nyambaf!Afu lenyewe linatafuna bigji halina habari
Kakojoe ulaleRefa tupe tu na hilo goli maana ndio uwezo wetu ulipobakia
Hahahaaa. Siezi nuna sababu mumewashambulia vya kutosha na nilijua ni lazima mutapata bao.Bado unacheka au umenuna tayari 🤣🤣
Nyie wenye utulivu jana mlishindwa kupata goli 🤣🤣
Tulia hivo hivo usikimbie hapa.
Ila kusema ukweli refa katubeba
Clear goalMacho yako yatakuwa na matege mkuu