Simba SC 1-0 Mbeya Kwanza | Benjamin Mkapa |NBC PL

Ally mayai naye ana perpective kama mimi, simba haiwezi kuweka matumaini kupata matokeo kwa kupitusha mipira kati kati

The only thing wanweza kufaidika ni kuhakikisha wana penetrate mipira pembeni, pale kati bwalya naye sijui anapaamini vipi wakati basically mbeya kwanza ndo wame dominate kwa wingi
 
Ni adhabu ya uwanjani tu, kwani kikosi anapanga matola au Pablo, huoni hata sub hua anapiga Simu?
 
Wachezaji simba wote wanacheza kwa mawazo ya matokeo...
Wanaacha ufundi...kila mtu anataka kufanya jambo.
Simba itengeneze nafasi kupitia wings ..
 
M
Mechi ya 3 na ya mwisho anzia ile mlicheza na watoto wa sekondari dar sec.school njoo ya juzi mwamuzi akatoa penati ya mchongo na prison maliza na hii sijui atatoa red card ama penati ngoja tusubiri
 
M

Mechi ya 3 na ya mwisho anzia ile mlicheza na watoto wa sekondari dar sec.school njoo ya juzi mwamuzi akatoa penati ya mchongo na prison maliza na hii sijui atatoa red card ama penati ngoja tusubiri
Umeandika hivi shabaha yako ni nini?
 
Simba hawana plan B, game nyingi wanacheza same style sijui tuna makocha wa aina gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…