ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Facts zipi? last time ulisema aki ingia Boko una acha kuangalia mpiraKiaje?
Nimeanza kulisema hilo kabla hata mechi haijaanza nikiwa based kwenye facts
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Facts zipi? last time ulisema aki ingia Boko una acha kuangalia mpiraKiaje?
Nimeanza kulisema hilo kabla hata mechi haijaanza nikiwa based kwenye facts
Simnajidanganya mpo mgongoni mwa vinara?Simba muache ujinga wenu uto wanatuchungulia kwa jicho moja
Leo hakuna penati pambaneni na Hali zenu.Refa akicheza hii game fair Kuna dalili simba akishindwa kupata pointi tatu.
Ni adhabu ya uwanjani tu, kwani kikosi anapanga matola au Pablo, huoni hata sub hua anapiga Simu?We ndo huelewi hata kinqchoendelea
pablo yuko kutumikia adhabu na hii ni mechi yake ya pili saizi hajatia mkono na hata bench hayupo anakaa kwa mashabiki
Mshakalili kila timu ikipata matokeo mabaya lawama zinaenda kwa pablo hiyo yote kwa ajili ya ku criticize CV yake, sasa hizo lawama kama wakumpa, mpe matola
Sasa habadiliki?Facts zipi? last time ulisema aki ingia Boko una acha kuangalia mpira
Mechi ya 3 na ya mwisho anzia ile mlicheza na watoto wa sekondari dar sec.school njoo ya juzi mwamuzi akatoa penati ya mchongo na prison maliza na hii sijui atatoa red card ama penati ngoja tusubiriWe ndo huelewi hata kinqchoendelea
pablo yuko kutumikia adhabu na hii ni mechi yake ya pili saizi hajatia mkono na hata bench hayupo anakaa kwa mashabiki
Mshakalili kila timu ikipata matokeo mabaya lawama zinaenda kwa pablo hiyo yote kwa ajili ya ku criticize CV yake, sasa hizo lawama kama wakumpa, mpe matola
Hakuna kitu kama hicho usiweke speculations zakoNi adhabu ya uwanjani tu, kwani kikosi anapanga matola au Pablo, huoni hata sub hua anapiga Simu?
Nyau bila red card ama penati ni weupe sanaRefa akicheza hii game fair Kuna dalili simba akishindwa kupata pointi tatu.
Umeandika hivi shabaha yako ni nini?M
Mechi ya 3 na ya mwisho anzia ile mlicheza na watoto wa sekondari dar sec.school njoo ya juzi mwamuzi akatoa penati ya mchongo na prison maliza na hii sijui atatoa red card ama penati ngoja tusubiri
Kuna nn humu ndani au mnakunywa kahawa kmya ....MO mnamuchaganya sana kwann hamumuheshimu mke wake barbraGoal kick
Saana kuna muda kashikilia mpira anazunguka nao tu hajui pakuupelekaBwalya anapooza sana
Simba hawana plan B, game nyingi wanacheza same style sijui tuna makocha wa aina gani?Ally mayai naye ana perpective kama mimi, simba haiwezi kuweka matumaini kupata matokeo kwa kupitusha mipira kati kati
The only thing wanweza kufaidika ni kuhakikisha wana penetrate mipira pembeni, pale kati bwalya naye sijui anapaamini vipi wakati basically mbeya kwanza ndo wame dominate kwa wingi