Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,179
- 26,188
Halafu hatolewiBocvo kweli ni boko, yasni mzito kama mnyama mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu hatolewiBocvo kweli ni boko, yasni mzito kama mnyama mwenyewe
Mkuu me mwenyewe sio shabiki wa SimbaHakuna Kadi hapo acha kutuaminisha ujinga
Una maamisha afanye kama alivyo fanya kwa mayele jana?Tuombe refa afanye yake
Siyo kwa leo tu, na mechi zijazoMkuu Inonga ana Red card
Kadi haina ubishi hiyo hajawabeba Mikia, hiyo ni dangerous play asingetoa red ningeshangaa........ila Mikia mnaweza kuambulia sare vile vile.Nilisema huyu refa anatubeba sana matokeo yake wachezaji wa timu pinzani wanapaniki haya tayari kadi nyekundu imetoka tushindwe sisi tu
hii ni mpira siyo mieleka ,akajiunge na mielekaNilisema huyu refa anatubeba sana matokeo yake wachezaji wa timu pinzani wanapaniki haya tayari kadi nyekundu imetoka tushindwe sisi tu
Naamna afanye kama ambavyo tayari kafanyaUna maamisha afanye kama alivyo fanya kwa mayele jana?
Itakua unaskiliza kwenye redioHakuna Kadi hapo acha kutuaminisha ujinga
Acheni kujiabisha na kutuaibisha hakuna cha mbeleko hapoBila mbeleko hatutoboi
Hahahaha kweli mkuu uko sahihi sanaItakua unaskiliza kwenye redio
HahaahahahaaMpira unauangalia au unasikiliza?