Simba SC 1-0 Namungo FC | Ligi Kuu | Benjamini Mkapa

Simba SC 1-0 Namungo FC | Ligi Kuu | Benjamini Mkapa

Kadi haina ubishi hiyo hajawabeba Mikia, hiyo ni dangerous play asingetoa red ningeshangaa........ila Mikia mnaweza kuambulia sare vile vile.

NB:Marefa wa Bongo kadi za njano wanazotoa kwa wapinzani wa Yanga na Simba hawatoi kwa wachezaji wa timu hizo kwa makosa yale yale
Kama Morison kapiga Mtu kiwiko na Hakuna Kadi ni maajabu ya maamuzi.
 
Bocco na Kibu Denis Wana ball controls za hovyo
 
Back
Top Bottom