Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajibu in morrsion out
63Dakika ya ngapi?
Kama Morison kapiga Mtu kiwiko na Hakuna Kadi ni maajabu ya maamuzi.Kadi haina ubishi hiyo hajawabeba Mikia, hiyo ni dangerous play asingetoa red ningeshangaa........ila Mikia mnaweza kuambulia sare vile vile.
NB:Marefa wa Bongo kadi za njano wanazotoa kwa wapinzani wa Yanga na Simba hawatoi kwa wachezaji wa timu hizo kwa makosa yale yale
Nilipowaambia huyu Mo ndio anajichomoa hivyo. Wasiotambua wakaja oooh...! Ana kazi nyingi bado ataendelea kuwa mdhamini wa mikia. Subirini hapo hapoMwamedi mjanja sana katupiga akajitoa asilaumiwe
Kama ameshakimbia, unataka awaachie nini sasa? Kuna haja ya kuweka viwango vya elimu kama sharti la kuwa mshabikiKwanini mwamedi atukimbie baada ya kuwauza wale? Atuachie timu yetu
maajabu hayaishiKama ameshakimbia, unataka awaachie nini sasa? Kuna haja ya kuweka viwango vya elimu kama sharti la kuwa mshabiki
Kwahiyo watoke sub aingie Mayele na Moloko?Bocco na Kibu Denis Wana ball controls za hovyo
Hawa hata kwa red card bado hawashindi. Mpaka PenaltWazee wa redcard ndo mshinde ni dakika ya ngapi?
Kama ameshakimbia, unataka awaachie nini sasa? Kuna haja ya kuweka viwango vya elimu kama sharti la kuwa mshabiki
Hata Manula first half alistahili njanoKama Morison kapiga Mtu kiwiko na Hakuna Kadi ni maajabu ya maamuzi.