ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
NBC Premier League kuendelea leo. Mabingwa watetezi Simba SC wakitoka kupata sare mchezo uliopita, leo saa 1:00 usiku kuwaalika Namungo FC ambao nao pia walitoka sare mchezo wao uliopita. Je, leo nani kuondoka na alama 3?
Kwa upande wa Simba, Mkude Anarejea katika nafasi ya kiungo baada ya kuwa nje kwa Muda Mrefu sana. Kwa sasa Simba Ina Majeruhi wengi ambao Watakosekana Kwenye Mtanange huu, Akiwepo Kiungo wa kimataifa Tadeo Lwanga, Sadio, Sokho, Mzamiru Yasini, Chris Mugallu.
Tuwe hapa Kuanzia Sasa Hadi kipute hiki kitakavyo Malizika.
====
Mpira ni mapumziko na milango ni migumu kwa pande zote, Simba 0-0 Namungo
51' Makame anapewa kadi nyekundu baada ya kumchezea ndivyo sivyo mchezaji wa Simba, Shomari Kapombe
53' Namungo wanafanya mabadiliko, Molinga anatoka na nafasi yake inachukuliwa na Halifa
60' Ibrahim Ajib anaingia kuchukua nafasi ya Benard Morrison
79' Mlinda mlango wa Namungo yuko chini baada ya kutoa mpira wa Bwalya na kufikia mgongo, Simba 0-0 Namungo
90+4' MK 14 anabadilisha matokeo dakika ya mwisho ya mchezo, Simba 1-0 Namungo
Kwa upande wa Simba, Mkude Anarejea katika nafasi ya kiungo baada ya kuwa nje kwa Muda Mrefu sana. Kwa sasa Simba Ina Majeruhi wengi ambao Watakosekana Kwenye Mtanange huu, Akiwepo Kiungo wa kimataifa Tadeo Lwanga, Sadio, Sokho, Mzamiru Yasini, Chris Mugallu.
Tuwe hapa Kuanzia Sasa Hadi kipute hiki kitakavyo Malizika.
====
Mpira ni mapumziko na milango ni migumu kwa pande zote, Simba 0-0 Namungo
51' Makame anapewa kadi nyekundu baada ya kumchezea ndivyo sivyo mchezaji wa Simba, Shomari Kapombe
53' Namungo wanafanya mabadiliko, Molinga anatoka na nafasi yake inachukuliwa na Halifa
60' Ibrahim Ajib anaingia kuchukua nafasi ya Benard Morrison
79' Mlinda mlango wa Namungo yuko chini baada ya kutoa mpira wa Bwalya na kufikia mgongo, Simba 0-0 Namungo
90+4' MK 14 anabadilisha matokeo dakika ya mwisho ya mchezo, Simba 1-0 Namungo