wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Na Jua Ndio Linazama Sijui Kama Tutatoboa Mkombozi Wetu Jua Anaelekea Kuzama
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuisila kisinda kipenz cha wanayanga ametolewa
Nipo na mama yako hapa getho napeleka motoUnaumia kutokea wapi
Reply kama hizi ndo nzuriiSimba SC Wameingia Na Energy Ya Kutosha Ya Kutamani Kuongeza Goal
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo tupeleke malalamiko kwa Samia au sio?Naona kama kuna offside kwenye hilo goal