kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Point 7 , Kileleni juuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshinde kihalali ila siyo mpaka Refa anatolewa na makomandoo
Huyu nabi sio leo kuhudhuria mechi za simba hususani za kimataifaAna-scoute Vipaji Kwa Wachezaji Wadogo Wadogo Wa Berkane.
Si Unajua Timu Yetu Imejaa Akina Onyango Na Kina Kagere
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu nabi sio leo kuhudhuria mechi za simba hususani za kimataifa
Yani management ya yanga inalipia pesa ya kiingilio ili nabi akachukue some skills kwa wachezaji wa simba maan wamekuwa wachoyo hawataki kuonesha maufundi kwenye ligi kuu si unajua huku wanga wengi
Lakini muarabu mpaka anamlaumu refa kwanini amemruhusu mane acheze kwa jersey ya sakho usifikiri ni swala dogo
Dar jua kali afu VAR haipatani na joto labda kama waifunge screen ya aborderSimba kashinda.
Ilikuwa penalt dhidi ya Simba kama ingalikuwepo VAR na goli la Berkane ni off side.
Kiujumla Simba alistahili saana kushinda ni marekebisho madogo madogo ambayo lazima yarekebishwe ili awe salama.
Wewe unafikiri angekuwa na kiwango angetolewa AS Vita kuja kucheza Utopolo?Nilichogundua TK Master wa Leo Sio kbs, Ibenge anampa nafasi tu kwa Kuwa ni Mkongoman Mwenzie...!
Kachezeshe wewe Sasa 😂,Ila lile ni clear goal, kibendera kawauma Rs Berkane,wakati huohuo kawapa goal Simba la offside.....Kagere aliingilia mchezo wakati Sako anapiga.....ila hongereni Kwa kushinda, hata kama ni kimagumashi
Alicheza blazaTuisila kisinda leo alicheza!?!
Msiwe mnaingia viwanjani na matokeo yenu mtakuja kufia uwanjaniAfrika ina safari ndefu sana kwenye soccer
Simba nguvu moja.
ila sijafurahi sana kwasababu hawa mbwa wa kiarabu ilibidi wafe si chini ya goli nne.
Unajua CV ya huyu refa aliyechezesha leo?
Full time mbona huweki?
YaanSimba nguvu moja.
ila sijafurahi sana kwasababu hawa mbwa wa kiarabu ilibidi wafe si chini ya goli nne.
Mzamiru kwa kupoteza mipira hajambo, asije tu akatunyea.
Basi 1-1
Muda wangu wa kubana pumbu ndio huu