bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,530
- 20,988
Unajishuku kuna sehemu nmetaja team au refa?Kama sio offside puliza filimba mpira kati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajishuku kuna sehemu nmetaja team au refa?Kama sio offside puliza filimba mpira kati
Mpira Umebadilika Kila Timu Inatafuta Goal
Uje nikuchuje kwenye hayo matundu yako nikute palepale pa siku zoteSina haja ya kuchuja wakati chujio upo
Hicho unacho ni quote kina husiaana vp na maelezo yanguMsiwe mnaingia viwanjani na matokeo yenu mtakuja kufia uwanjani
Ni ushauri tu.
Kuna jamaa mmoja ni mnafki sana anajidai yeye kaji isolate na ushabiki lakini since alivyomkandia henonga na kusema simba wakija kugundua kua huu usajiri waliingia mkenge watakuwa wameaha chelewa nikajua mchizi ni bonge la chawa Bila bilaOyaah wazee, Inonga ni beki bwana[emoji23]
Sitafuti mke,jaribu kwingine.Sasa achuje nini ilhali machujio mpo?? Nyie endeleeni kuchuja kazi ya MwanaSimba Sc ni kuandika atachojisikia kisha wazamiaji wachuje.
Jitusu uwe mfuUje nikuchuje kwenye hayo matundu yako nikute palepale pa siku zote
Sawa fukara wa Jf.Sitafuti mke,jaribu kwingine.
Wacha waumie, walitarajia kuona Simba Sc akifungwa leo.mbona mapovu jamani? Tuendeleze upendo wa kitanzania, huu ni mpira tu
you preening arsehole, and I am reacting accordingly: mentally condemning you to the trash-pile forever more.Sasa unategemea nianze kubishana humu Jf na fukara kama wewe?
Wewe kinachokubeba hapa ni hii fake ID vinginevyo uraiani nakununua kabisa na kukuzika ambako hata ndugu zako hawawezi kukupata.
Lazima wakasimulieLakini jamaa aliyabashiri haya yote, alikuwa akiwaambia waarabu kua simba ya kule morroco ni tofauti na hii kwa mkapa wakambishia
Sasa wamekuwa mashuhuda upako ukawashukia wakaanza kunena kwa lugha refa kawachezeshea na kadi
Yanga waongo sana! Sasa mbona hajaonekana akigusa mpiraAlicheza blaza