OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
46' Asec 2- 0 Gent
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora ashinde, game yetu isiwe na presha sana46' Asec 2- 0 Gent
Eti wanadai aliwawezesha jana kufunga goli la kwanza kwenye mechi za kimataifa msimu huuMichezo ya kiafrica ikoje? Kocha wako Nabi kaifikisha wapi utopolo?
Waache wajilimbwase ila watambue tu wakifika hapa kwa mkapa lazima wafe48' Asec 2- 1 Gent
Sare ya mchongo ilikua jana Uto Vs Al shabaab,ilikua mpigwe sema tu G aliwai kufanya muamala mapema.Wewe Si Ndio Unapata (ga) Ugonjwa Wa Moyo Hat a Ukipata Sare Za Mchongo Kwa Kushangilia Kupita Kiasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilijua tu utasema😂😂 mmeotea tuuBila shaka umeziona timu za kimataifa financial services
Simba bado sana. Goli moja tena la kuotea nao ni ushindi?Linapokuja swala la mashindano ya kimataifa Simba Sc huwa haina tofauti ma Real madrid, wanabadilika na kuwa wengine kabisa.
Urusi na Ukraine wanacheza lini nasikia wapo kundi moja na YangaYanga ana point 1 kwenye kundi lake, sawa na somalia nae ana point moja
Nafikiri hata wewe uliona jinsi ambavyo mwarabu alipoteana kipindi chote cha mchezo, lingekuwa goli la bahati kama walau tungeonyesha kuzidiwa na hao waarabu wenu.Simba bado sana. Goli moja tena la kuotea nao ni ushindi?
Russia point 3 goal 6Urusi na Ukraine wanacheza lini nasikia wapo kundi moja na Yanga
Sare ya mchongo ilikua jana Uto Vs Al shabaab,ilikua mpigwe sema tu G aliwai kufanya muamala mapema.
Njoo huku 🦁🦁Nilijua tu utasema😂😂 mmeotea tuu
Mwana Utopolo mwenzagu haya ya kimataifa tuwaachie wenyewe, sisi tukazane kutetema kama mabumunda huenda siku moja tutafika huku.
Leo wamepiga mpira mzuri sana, naamini kocha wetu kajifunza kitu.