Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asec wakitoa draw leo basi kazi imeisha,tunatafuta point 3 tu
Michezo ya kiafrica ikoje? Kocha wako Nabi kaifikisha wapi utopolo?Nadhani msimu Ujao Simba itafute kocha mwenye kujua soka la Africa na ambae amefundisha timu za Africa na kucheza michuano ya kimataifa.
Msimbazi kuna kikoso kizuri except pia hawana STRIKER ILE YA KIBISHI, KAGERE NI TRASH.
Huyu kocha anakosa Psychological tactic Tags za michezo ya Africa.
Ni suala la muda atakuja kuwaliza wanasimba.
I am doubting hata kama anasikiliza huyu kocha . Ni TAKATAKA
mwezio kaliwa kama andazi na Zimbwe TshabaTuisila nipigie hawa makolo
Tupeni mrejesho
Unasemaaaa?Tuisila nipigie hawa makolo
mwenye kideo cha kisinda na hersi na shda nakoLwanga ni kuni za kuivishia gongo waarabu wamemkoma
hahahaha kuna kchambuz u tv eti ya manula na mshambuliaj ni clear penatWaarabu wakataka kusususia mechi
Refa akawafata akawaambia As Vita alikufa hapa hapa kwa mkapa
Berkane wakashangaa
Akasema sio hao tu, Al Ahly nao walishakufa hapa
Wakaguna mmmh! Oya mazee ebu tuingie tu kumbe tukifungwa haiwezi kuwa aibu maana kama hao vigogo walipotea sisk akina nani
Unajua alichokufanya kwenye NgaoMayele mayele
Mmesajili wakimbizi wamekuja kujifcha afu mnapiga kelele mtaani
Sina muda wa kubishana na fukara mimi.you preening arsehole, and I am reacting accordingly: mentally condemning you to the trash-pile forever more.