Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaangalia mpira lakini? hiyo open game iko wapi?? Possesion 68 kwa 32[emoji23]Tujifunze wapinzani wakija kwa MKAPA wanacheza open game...
Tofauti na timu zetu zikienda ugenini
Simba ashinde ndilo la kuombaLeo ni sikukuu kwa wapenda kandanda nchini Tanzania.
Mnyama Mkubwa mwituni, Simba Sc atashuka katika dimba la Benjamin Mkapa kucheza dhidibya RS Berkane ya Morocco majira ya saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki.
Simba itaingia dimbani huku ikiwakaribisha nyota wake waliotoka majeruhi kama Chris Mugalu, Kibu Denis, Jonas Mkude, Tadeo Lwanga, Bwalya huku ikiwakosa Hassan Dilunga na Chama (ambaye sheria zinambana)
Simba itahitaji ushindi wa hali kwa mali ili kujiwekq katika nafasi nzuri ya kufuzu kwenda robo fainali ya michuano hiyo.
RS Berkane wakiwa ugenini wamekuwa na tabia ya kuruhusu magoli hivyo Simba ikitulia vizuri leo wanaweza wakavuna alama 3 muhimu.
Mechi ni saa 10:00 kupitia Utv ya Azam Tv.
Mijadala, updates na yote kuhusu mechi hii utapata dondoo kupitia uzi huu...karibuni sana
Simba nguvu moja!!
[emoji16][emoji16] yaani apo nimefanya uzalendo sana maana ni 4-0
Kipa wa Berkane ni mjanja sana akipata nafasi yeye anachofanya ni kupoteza muda tu
Huo sio ujanja.Kipa wa Berkane ni mjanja sana akipata nafasi yeye anachofanya ni kupoteza muda tu
Anaye weza kunisaidia nione Hii Mechi Wakuu Sipo Tz