Goli la kusawazisha lingepatikana mapema tungewapiga hao warusha mateke, hii pointi moja ni sawa na ushindi itabidi Nyoni awe anacheza kila mechi ikitokea penati apige.
Hapo nilikuwa nazungumzia bado moja goli sio dakikaNa imefanya maajabu
Yap ipo nafikiri mshika kibendera hakua makini au alihofia.Mimi ni simba damuNaiona offside kwenye hili goli.
Nyie kikosi kipana banaKagere anaanza huu mchezo tunashinda bila shida
Huyu Mugallu maku sana
lile la offside lilikataliwaGoli la Simba ni offside ila tunasema mshika kibendera ni binadamu naye anaweza kukosea.
Mtazamo wako upo sahihi kwa 100%.Mugalu hakutakiwa kurudi kipindi cha pili leo Mwalimu Da Rosa alichanga karata zake vibaya
Running time ya game ni dakika 96Nusura nipate kamtaji..dahView attachment 1722266
Na huo ndo ukweli.Goli la Simba ni offside ila tunasema mshika kibendera ni binadamu naye anaweza kukosea.
Kosa la kibendera ni kwenda mwisho kabisa ya uwanja halafu anategemea kuamua offside. Vinginevyo ni kosa la kibinadamu.Yap ipo nafikiri mshika kibendera hakua makini au alihofia.Mimi ni simba damu
Hili goli ni off side bila ubishi, ila Prison ni timu haswa.Naiona offside kwenye hili goli.
Muda mlikuwa wapi, tena hilo goli ni off side.hapo nilikua nazungumzia bado moja goli sio dakika
kwa situation ya pale baada ya kusawazisha simba alikuwa anahitaji sekunde walau tatu tu kuweza kuongeza bao la pili
Hiki kikosi kitakuwa ni kipana maeneo mengine si uwanjaniNyie kikosi kipana bana