Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri mpigwe 8 - 0 ndipo utakapopata akiliHiki kikosi kitakuwa ni kipana maeneo mengine si uwanjani
Tunashangilia wachezaji walivyopambana, siyo droomikia mnashangilia droo kwa timu iliyo pungufu
Vipi goli alilokataa na Mugalu na kunyoosha kuwa offside?Kainyima Simba goli lakini pia kaipa goli!Goli la Simba ni offside ila tunasema mshika kibendera ni binadamu naye anaweza kukosea.
Pia goli la Mugalu lilikataliwa halikuwa offside!Hili goli ni off side bila ubishi, ila Prison ni timu haswa.
Mzani umebalance maana goal la mugalu lililokataliwa pia halikuwa offside.Naiona offside kwenye hili goli.
Uto techno zenu zimepona dhahama ya Msolla "Hacked.mikia mnashangilia droo kwa timu iliyo pungufu
Hee mnalalamika Kama Yanga?!Mugalu naye hana maajabu yeyote
Msiba upi au wewe ndo umefariki tuomboleze?Simba kuangusha bonge la msiba wa kitaifa leo
Hakuna ubora wowote, mpira umejaa tu matumizi makubwa ya nguvu bila kutumia akiliPrison kweli wako vizuri leo wamecheza muda mwingi bila mabeki wao wa kati, Chona na Jumanne Elfadhili lakini bado walikua bora katika kuwadhibiti Simba.
Hii inaitwa 'ROHO YA PAKA' . Mzee umetisha... !Leo ni droo hili liko wazi
Na ruvu shooting..Binafsi nilichojifunza kwenye mechi ya Simba vs Prisons ni kwamba, katika ligi ya bongo, kuna timu tatu za JKT Tanzania, Polisi Tanzania na Prisons zinazotumia nguvu nyingi bila akili. Ova
Aliepambana nyie kupata goli ni refa na mshika kibendera, shangilieni droo ya kubebwaTunashangilia wachezaji walivyopambana, siyo droo
Hapo nilikuwa nazungumzia bado moja goli sio dakika
Kwa situation ya pale baada ya kusawazisha simba alikuwa anahitaji sekunde walau tatu tu kuweza kuongeza bao la pili
Aliepambana nyie kupata goli ni refa na mshika kibendera, shangilieni droo ya kubebwa