Simba SC 2 - 1 Yanga SC: Shiza Kichuya aibuka shujaa wa Simba

Nami ndiyo naiangalia hiyo hiyo nimuone huyo Costa kama atatingisha nyavu tena leo.

hahahahaaa aya bwana mie nachek game ya chelsea sasa hivi. mnyama nishamalizana nae.
 
khe khe kheeeeeeeeee unatamani kuchepuka ili uvue picchu? 🙂🙂
hahaha asa si unatamani tu kidogo afu ukifikilia kuvua picchu hamu ya kuchepuka inaisha.
 
Reactions: BAK
Au unapenda uvuliwe picchu badala ya kuivua mwenyewe?

hahaha asa si unatamani tu kidogo afu ukifikilia kuvua picchu hamu ya kuchepuka inaisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…