Simba SC 3-0 JKT Tanzania FC | Uwanja wa Benjamin Mkapa | Vodacom Premier League VPL

Embu malizia kwanza na "KULITAKA MWANA, KULIPEWA MWANA" ndo tuendelee.
 
Kapombe anakwendaa, doooh anaangushwa ndani ya 18 na refa hakuna kituuu
Ingekuwa kidimbwi FC, kesho ungesikia maandamano...

Juzi niliongea na wachezaji wetu, nikawaambia hawawezi kuunga mkono juhudi za vyura. Tukipewa penalti wapige nje... Nyie wote ni mashahidi wangu ... mliona Kagere alivyopiga nje... Wajinga wanadhani alikosa kumbe alikuwa anafuata maagizo kutoka juu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…