ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
Watu washazoea kua kwakua simba ni bingwa basi kila mchezo anashindaTatizo watu wanataka kuwafanya wachezaji kama marobot wanasahau kuwa na wao ni Binadamu
weka picha tuoneMiquisone nakupa binti yangu ...
Goalllllllllllllllllllllllll
Niko na maumivu sana mazee
😂 😂 😂 Mmebaki nyieNiko na maumivu sana mazee
Bado goli mojaDodoma anakufa 3-1
Acha tu, nimejeruhiwa sana moyo na nina hasira mno....😂 😂 😂 Mmebaki nyie
Tayari tushafunga mahesabu bossBado goli moja
Haya kama nilivyosema sasa subirini la tatu
Dodoma anakufa 3-1
TayariBado goli moja