Simba SC 3 - 1 Dodoma Jiji FC | Vodacom Premier League | Benjamin Mkapa

Dakika 3 za nyongeza

Duuh si itakua usiku sana mazee?

Umeme wenyewe sio wa uhakika au kama vipi umeme ukizingua wachezaji wacheze wakiwa wameuma tochi mdomoni
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]
 
Upo sahahi hizi nafsi Mugalu anatengeneza, kagere akiwepo huzioni kabisa
 
Uwiiiii kwa aina ya Magoli tuloshinda.


Kumbe ndo maana, kuna tetesi nmesikia, Yanga wanaweza ingia mitini May 8


Ninani wakumzuia Chama?? Konde??? Hahahahahah



Haya magoli unaweza pigia nyeto[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…