Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
FatigueSimba wanacheza kwa tempo ya chini sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FatigueSimba wanacheza kwa tempo ya chini sana
Wangekutana na utopolo ni aibu!!Ila kusema kweli hawa Dodoma sio wanyonge ni vile tu wamekutana na mnyama mwitu asie na huruma. Ingekuwa wanacheza na utopolo wangewafunga nyingi.
Kaka...Dodoma anakufa 3-1
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]Dakika 3 za nyongeza
Duuh si itakua usiku sana mazee?
Umeme wenyewe sio wa uhakika au kama vipi umeme ukizingua wachezaji wacheze wakiwa wameuma tochi mdomoni
Upo sahahi hizi nafsi Mugalu anatengeneza, kagere akiwepo huzioni kabisaMkuu Kagere kaingia hapo sasa angalia Kama utaziona tena hizo nafasi za wazi alizokuwa anakosa Mugalu maana yangu ni kwamba huyu Mugalu hata Kama anakosa lakini nafasi anatengeneza unaziona lakini hawa wengine hata kutengeneza nafasi tu ni mtihani shekh.
Hapo sasahivi unaona sasa jinsi mabeki walivyo huru kupeleka mashambulizi kwa Simba ?
Unaona dodoma wanavyokuja?
We jamaa kichawi wewe[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23] haiwezekani utabiri kama huu[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]Dodoma anakufa 3-1
Kwa hiyo Onyango hatatakiwa kucjeza tarehe 8 kwa sababu ya kadi hizo mbili za njano?
Nimechelewa kuona hii babu natumaini utakuwa ushapata matokeoNgapi ngapi chalii angu?
Kama ndio ipo hivi mbona itakuwa balaaKwa hiyo Onyango hatatakiwa kucjeza tarehe 8 kwa sababu ya kadi hizo mbili za njano?
Sofa ScoreHii app gani?
Nshapata asee... 3-1Nimechelewa kuona hii babu natumaini utakuwa ushapata matokeo
Upo kama mimi.Nshapata asee... 3-1
Nazama Youtube nikaangalie burudani...
refa = coachhapana mkuu,refa kamuweka bench kumuepusha na kadi ya 3. ili usicheze mechi 1 ijayo unatakiwa uwe na kadi 3 mfululizo
Sawa babu. Hii Simba msimu ujao inabidi tuombe tu hata tushiriki ligi ya Sauzi au Misri maana hapa bongo wanatupotezea tu nguvu zetu bure hakuna wakushindana na sisi.Nshapata asee... 3-1
Nazama Youtube nikaangalie burudani...
Last time i checked walikuwa wanasaka mayai vizaKwani uto wanasemaje? 🤣
Kwani uto wanasemaje? 🤣
Halafu mataga ya utopolo yanataka kumfananisha Mugalu na Nchimbi wa utopolo!! Utalinganishaje biriani na makande!!Mugalu Mwamba....!