Mbona furaha haijaisha wakuuwanasawazisha dodoma dk ya 28
Yes hili sio afyaSimba wanacheza kwa tempo ya chini sana
Asipokuwapo Onyango simba hawaruki vizuri mipira ya konaHao watoto kuwapiga goli la pili kabla ya HT. Manula nae golini wakati mwingine huwa hakumbuki yuko wapi.
Dodoma wanaviziaMbona furaha haijaisha wakuu
Dodoma anakufa 3-1Niliwaona mapema, hapa sina amani wasije tufunga bora iwe hata hiyo sare tu.
Dodoma anakufa 3-1
37dk ..1-1
Onyango ana kadi mbili za njano?Asipokuwapo Onyango simba hawaruki vizuri mipira ya kona