makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Hamna timu mule! Acheni kelele
Draw ni kesho kama sikoseiAiseh sijui tutapangiwa nani tu hii robo fainali, sitaki awe ngozi nyeusi, tukipewa waaeabu saivi hata nudmsu tutakuwa na waarabu.
Ikiwa hivyo, fainali naiona kabisa.
Simba nayo ni moto mkubwa... Usiichukulie poa.Hata orlando pirates nae yuko form sana aiseeh.
Binafsi nimekwazika... tumefanya udhalilishaji sanaMashabiki wengi wa simba siwaoni au ndo mmekwazika na haka kaushindi kembamba?
Sasa itakuaje! Utaweza?Kesho nasikiliza radio zote vipindi vya michezo😎😎
Mwarabu saizi yetu....hii ngozi nyeusi,tunafahamiana!😅Orlando pirates
Al Ittihad (libya)
Tp Mazembe
Rs Berkane
Hawa ndio vinara wa makundi..nani tutakutana nae?View attachment 2174919
Mmejitahidi sana, ila sasa mna sifa sana hadi mnaboa🤪Game umeicheki?
Unaongelea kitu gani mbona ueleweki,,genta anapowachana ukweli mnamchukia kumbeEeh bhana utopolo wamelala na viatu, defense, offensive and attacking wings wameupiga mwingi. Gentamicine mwenye uwezo wa kitopolo kupanga kikosi cha Simba kacheze ndondo next level za football tuachie akina Gaucho ili uitwe Gaucho always ni next level.
Ni kweli Timu ipo Nigeria ...ulikotolewa Bikira! Mapemaaa!Hamna timu mule! Acheni kelele