Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaaa, uto bwana. Ngoja tuone.Hawa USG naona nawao hawajaja kinyonge sana......Mikia inatakiwa mjipange vizuri na halftime msalimiane na Refa
Morrison leooo duh
Huyo jamaa hata kiungo anaweza kucheza, ni kama Bale tu alivyohama kutoka kuwa fullback akiwa Tottenham hadi kuwa mshambuliaji.Leo Mohammed Hussein nyota inang'aa
Mbona umeutelekeza uzi wako hauuwekei updates?Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya CAF Confedaration Cup, Simba Sc itashuka dimbani dhidi ya Us Gendarmerie katika dimba la Benjamin Mkapa majira ya saa 4:00 usiku.
Hiyo itakuwa mechi ya mwisho ya kundi D na Simba wanahitaji ushindi wa aina yoyote ili waweze kufuzu hatua ya robo fainali.
Endapo Simba itashinda watafuzu kwa hatua ya robo fainali huku pia wakisikilizia matokeo ya Rs Berkane Vs Asec Mimosas mechi ambayo nayo itapigwa saa 4:00 usiku Kwa saa za Afrika ya Mashariki.
Hii itakuwa mara ya kwanza Simba kucheza mechi saa 4:00 usiku jambo ambalo linatia mashaka kama mashabiki watajitokeza kwa wingi kulinganisha na hali ya usalama.
Je Simba wataweza kufuzu robo fainali? Majibu ni saa 4:00 usiku kupitia ZBC2
Kabisa leo kidogo yuko seriazYuko kwenye heat
Inang'aa kivipi wakati kule Adebayor anapita tu uchocholoLeo Mohammed Hussein nyota inang'aa
Ni wa kawaida tu ila akiwa kwenye team nzuri ni hatari zaidi, hii simba inavyocheza hii mechi laiti kama Adebayor angekuwa Simba Sc asingeacha kutupia.Yule Adebayor mnayemtaka Mikia mbona simuoni,au kwasababu aliwafunga tu......mchezaji mkubwa ndiyo mechi zake hizi
Dk 27 nyau nyau
Atakuja Mikia wakipigwa.....🤣Mbona umeutelekeza uzi wako hauuwekei updates?
[emoji23][emoji23][emoji23]Atakuja Mikia wakipigwa.....[emoji1787]
Kwanini timu zetu mpaka mchezaji azifunge ndiyo wanamuhitaji.......?? Scouting yetu ni ndogo sanaNi wa kawaida tu ila akiwa kwenye team nzuri ni hatari zaidi, hii simba inavyocheza hii mechi laiti kama Adebayor angekuwa Simba Sc asingeacha kutupia.
Guvu moya