Simba Sc 4-0 Us Gendarmerie | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium

Yule Adebayor mnayemtaka Mikia mbona simuoni au kwasababu aliwafunga tu...... mchezaji mkubwa ndiyo mechi zake hizi

Dk 27 nyau nyau
 
Mbona umeutelekeza uzi wako hauuwekei updates?
 
Yule Adebayor mnayemtaka Mikia mbona simuoni,au kwasababu aliwafunga tu......mchezaji mkubwa ndiyo mechi zake hizi

Dk 27 nyau nyau
Ni wa kawaida tu ila akiwa kwenye team nzuri ni hatari zaidi, hii simba inavyocheza hii mechi laiti kama Adebayor angekuwa Simba Sc asingeacha kutupia.
 
Ni wa kawaida tu ila akiwa kwenye team nzuri ni hatari zaidi, hii simba inavyocheza hii mechi laiti kama Adebayor angekuwa Simba Sc asingeacha kutupia.
Kwanini timu zetu mpaka mchezaji azifunge ndiyo wanamuhitaji.......?? Scouting yetu ni ndogo sana
 
Bwalya anawachelewesha sana wenzie, yupo slow mpaka anapoteza mipira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…