Simba Sc 4-0 Us Gendarmerie | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium

Simba Sc 4-0 Us Gendarmerie | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium

Sasa timu kama Simba wanaachaje kutazamwa na watu bilion? CAF wenyewe walitoa ya moyoni ni timu inayoongoza kutazamwa. Hivi unajua Simba hata isipofunga ina ka utamu fulani hivi yani kuna hali fulani ya kupendwa tuu, viva Simba Vivaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Ingekuwa ni mayele kafunga goli gumu kama la kanoute angetumia muda mwingi ku celebrate kwa kutetema kiasi ambacho kingefanya muda usiwe wa kutosha kuweza kufunga matatu mengine

Ila uchap wa magwiji umeonesha utofauti kupitia ushangiliaji wao kuwa kufunga goli sio kitu cha kukufanya uunde tume ndani ya mechi yani mji organize kwa kuitana itana mpaka na bench la ufundi mtimie kundi mtengeneze gwaride na kuimba pambio za kiganga na kutikisa maziwa, ambapo mwisho wa siku zoezi kuja kukamilika tayari robo saa imepita
 
Simba hongereni, hizi timu za bongo nazishabikia zikiwa kimataifa tu, maana zinaitangaza Tanzania 🇹🇿 nchi yangu na kufanya iwe juu kisoka. Ila Yanga upuuzi mtupu mnatolewaje vile.

Biashara United ilichofanyiwa acha tu inakera.

Namungo hongera kwa kusaidia pamoja na simba msimu uliopita kupeperusha bendera.

Ila Simba ilipaswa kufahamu inahitaji magoli mengi iwe Top of group ambayo advantage ni Kuanzia ugenini then kufanya mauaji kwa mkapa. Ila Hongereni sana kwenda Robo fainali si haba.

Tanzania 🇹🇿 imewakilishwa ipasavyo.
 
Halafu kuna habari zina trend kuwa yule ng'ombe naye mnampigisha swaumu

Jamani muwe na huruma yule ni mnyama, ni juzi tu hapo camera iliwanasa mkimfunga kwenye majani ya upupu, mkaona haitoshi mpaka mumpigishe diet?
 
Ingekuwa ni mayele kafunga goli gumu kama la kanoute angetumia muda mwingi ku celebrate kwa kutetema kiasi ambacho kingefanya muda usiwe wa kutosha kuweza kufunga matatu mengine

Ila uchap wa magwiji umeonesha utofauti kupitia ushangiliaji wao kuwa kufunga goli sio kitu cha kukufanya uunde tume ndani ya mechi yani mji organize kwa kuitana itana mpaka na bench la ufundi mtimie kundi mtengeneze gwaride na kuimba pambio za kiganga na kutikisa maziwa, ambapo mwisho wa siku zoezi kuja kukamilika tayari robo saa imepita
Niache bwana nimecheka sanaaaa eti kutingisha maziwaaaa hahahahahahahahahahahahaa
 
TBL na SBL amkeni mlete Bia hapa Baa za Nje Uwanja wa Taifa hali ni Kucheleeeeee, sherehe kubwa inaendelea na WanaMsimbazi wanakula Bheer hatari. Sooon kreti zote zitaisha
 
Back
Top Bottom