Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Simba Hoyee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba Hoyee
NakaziaSimba=Nguvu moja,jezi imewaponza.
😄😃😀😅😆😁🤣😅😊 UnachekeA Chooni Sasa HiviKila la heri US Gendarmerie
Mtabiri wa mchongoMakolo leo hawana chao wamechezea bahati hawa jamaa kipindi cha pili huwa wanakuwa wamoto sana sitashangaa wakipata goli
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
ImetimiaNaaam.
I see quarter final
milion 805000000Tunachukua kama sh ngapi za kibongo ? Dola laki 3.5
72 kwa 28Wekeni ball possession, watani waone
Niache bwana nimecheka sanaaaa eti kutingisha maziwaaaa hahahahahahahahahahahahaaIngekuwa ni mayele kafunga goli gumu kama la kanoute angetumia muda mwingi ku celebrate kwa kutetema kiasi ambacho kingefanya muda usiwe wa kutosha kuweza kufunga matatu mengine
Ila uchap wa magwiji umeonesha utofauti kupitia ushangiliaji wao kuwa kufunga goli sio kitu cha kukufanya uunde tume ndani ya mechi yani mji organize kwa kuitana itana mpaka na bench la ufundi mtimie kundi mtengeneze gwaride na kuimba pambio za kiganga na kutikisa maziwa, ambapo mwisho wa siku zoezi kuja kukamilika tayari robo saa imepita
350,000×2300=805,000,000Tunachukua kama sh ngapi za kibongo ? Dola laki 3.5
Hii picha lazima itengenezewe emojiView attachment 2174813
Nyieee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]