Simba SC 4-1 Ruvu Shooting | NBC Premier League | Uwanja wa Benjamin Mkapa

Simba SC 4-1 Ruvu Shooting | NBC Premier League | Uwanja wa Benjamin Mkapa

Yaani imefikia hatua unafurahia hadi kitufe cha Live ilihali kinachoendelea sio Live. Lol

Ama kweli faraja zipo za aina nyingi. 😂😂
🤣🤣🤣🤣☝️☝️
Daah, faraja tena🤣🤣🤣
 
Mi sijambo Ntani. 🤣🤣🤣
Nafurahi kusikia hilo mtani.

Maana umenichekesha sana. Sisi Simba ya robo fainali tunajifariji kwa LIVE ya Ruvu🤣. Ama kweli kukosa ubingwa mwaka huu imekuwa tabu tupu
 
Nafurahi kusikia hilo mtani.

Maana umenichekesha sana. Sisi Simba ya robo fainali tunajifariji kwa LIVE ya Ruvu🤣. Ama kweli kukosa ubingwa mwaka huu imekuwa tabu tupu
Hahahaaa. Ndio eti 🙈 sababu tusemeje sasa.

Ubingwa upo mtani kwani Yanga huwa inapoteza sana mechi second round. 🤣🤣
 
Simba lidude likubwaaa,😀😀
50 cent.gif
 
Hahahaaa. Ndio eti 🙈 sababu tusemeje sasa.

Ubingwa upo mtani kwani Yanga huwa inapoteza sana mechi second round. 🤣🤣
Mwaka huu mtani mtasema sana. Sisi ndio wa kutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa. 🤣

Tusubiri msimu ujao tuone kama mtaendelea kutetema. Miaka minne mlikuwa mnafukuzana tu sasa tumewatupia Manara na Senzo basi mnajiona wajanja.🤣
 
Mwaka huu mtani mtasema sana. Sisi ndio wa kutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa. 🤣

Tusubiri msimu ujao tuone kama mtaendelea kutetema. Miaka minne mlikuwa mnafukuzana tu sasa tumewatupia Manara na Senzo basi mnajiona wajanja.🤣
Hahahaaa. kuna kale kamsemo ka " The Return of Champions" ndo kanatake place sasa. 🤣🤣🤣

Na utashangaa zaidi pale tutakapokuwa mabingwa endelevu sababu pesa za Azam sidhani kama zitawachika kirahisi Mtani.

Muanze tu kuandaa mafundi wa kuwapunguzia nguo maaana mutakonda sana. 🤣🤣🤣🤣
 
Kweli sasa ndio naijua raha ya ubingwa na mateso wanayopitia wanaosaka ubingwa.

Kumbe kwa miaka minne mtani Shadeeya na wenzio mmeteseka hivyo 🤣. Kweli msiba usikie kwa jirani tu.

ntazana ntazana tuwaache hawa wafute huzuni ya miaka 4.
Ubingwa kitu ingine mtani. 😂

Tuliteseka kweli sio utani na ujue nini hatukuteswa na ubingwa ila nyie ndo mlitutesa kwa kebehi zenu.

Hivyo nikikaa huwa naombea sana tutwae huo ubingwa kwa kweeli. 😅😅
 
Back
Top Bottom