Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,472
- 6,391
Tofauti na pesa Makata ni mnazi mkubwa wa Simba....hawezi pokea pesa eti Yanga ishinde,wakati katika vitu vinasababisha maumivu kwake ni ushindi kwa YangaVipi wananchi hamkumpa!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tofauti na pesa Makata ni mnazi mkubwa wa Simba....hawezi pokea pesa eti Yanga ishinde,wakati katika vitu vinasababisha maumivu kwake ni ushindi kwa YangaVipi wananchi hamkumpa!?
Tofauti na pesa Makata ni mnazi mkubwa wa Simba....hawezi pokea pesa eti Yanga ishinde,wakati katika vitu vinasababisha maumivu kwake ni ushindi kwa YangaMbona nyie timu Kabwili hamkumnunua?
Dodoma jiji alikula NNE kavu,yaani na cleansheet juu wala sio kwa mojaHivi utopolo walishawahi kushinda magoli 4?
Mkebeba point 3.5 kwa clean sheetDodoma jiji alikula NNE kavu,yaani na cleansheet juu wala sio kwa moja
Mngeshinda kule kigoma basi acha kulia liaTofauti na pesa Makata ni mnazi mkubwa wa Simba....hawezi pokea pesa eti Yanga ishinde,wakati katika vitu vinasababisha maumivu kwake ni ushindi kwa Yanga
Tulibeba point 6Mkebeba point 3.5 kwa clean sheet
Kila mtu na kibonde wake ww Kagera sugar alikupiga pale kaitaba na mm nilimfunga bila shida kabisa......Mtibwa sugar ulitoa sare kwake ila Mimi nikamfunga kiulaini kabisaMngeshinda kule kigoma basi acha kulia lia
Kila mtu na kibonde wake....ulitoa sare na Dodoma jiji ila mm nikampiga NNE kavuMngeshinda kule kigoma basi acha kulia lia
Hili nalo neno.Hivi utopolo walishawahi kushinda magoli 4?
Waulize Dodoma jijiHivi utopolo walishawahi kushinda magoli 4?
Wanashinda kwenye mazoeziHivi utopolo walishawahi kushinda magoli 4?
Dodoma jiji ipi ambayo simba ilitoa nayo sare?Kila mtu na kibonde wake....ulitoa sare na Dodoma jiji ila mm nikampiga NNE kavu
Just levels
Wanaongoza ligi tangu msimu umeanza mpaka sasaHivi utopolo walishawahi kushinda magoli 4?
Ndo mmeanza ligi sasaHii ndiyo Simba ninayoijua mimi
Hatua hii kila mchezaji atajituma sana na ataenda kukoleza ndumba kwa professor wake maana ndio hatua ya lala salama hiyo huna nafasi ya kujitetea tena baada ya ligi kuisha. Watu wanapambana wasipewe mkono wa baibai.Ndo mmeanza ligi sasa
Kwahyo bocco kaanza ligi rasmi leoHatua hii kila mchezaji atajituma sana na ataenda kukoleza ndumba kwa professor wake maana ndio hatua ya lala salama hiyo huna nafasi ya kujitetea tena baada ya ligi kuisha. Watu wanapambana wasipewe mkono wa baibai.
Msimu ujao captain fantastic yupo tens, Kibu Denis ndani, Mugalu ndani, Kagere ndani, Mzamiru ndani, wawa ndani,