ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Laana ya nini?Dak 96' RS BERKANE anaruhudu bao
Huyu ana laana yetu bado pirate
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Laana ya nini?Dak 96' RS BERKANE anaruhudu bao
Huyu ana laana yetu bado pirate
Uchawi haupo kwa mujibu wakoUngelijua hili ungekuwa unatusapoti tunapo shiriki michuano hiyo ya kimataifa
Lakini roho ya uchawi ndio iliyokufanya uone kawaida kuwapokea airpot timu pinzani na kuwashangilia.
Bado mechi ngapi hii ligi iishe, hamu sasa hivi ni kuona Simba SC itawasajili wakina nani, wala sio hizi game tena.
Game yangu iliyobaki ni moja tu; Simba SC vs Dar Young Africans, Semi Final ya Azam Federation.
Una maana hiyo Simba imeshatinga hiyo nusu fainali??!!Bado mechi ngapi hii ligi iishe, hamu sasa hivi ni kuona Simba SC itawasajili wakina nani, wala sio hizi game tena.
Game yangu iliyobaki ni moja tu; Simba SC vs Dar Young Africans, Semi Final ya Azam Federation.
Chama alimdunda kochaChama vp anaumwa?
sioni tatizo la kocha,unataka kocha akamtengee Kibu mpira karibu kabisa na goli afunge?Binafsi bado nina imani kubwa sana na wachezaji wengi sana wazuri waliopo Simba
Sina imani kabisa na Pablo
Ameshindwa kuleta utulivu kwa wachezaji kujiamini kutokana na mbinu zake
Pamoja na Boko na Kagere kuonekana umri umekwenda lakini ukiangalia vizuri kwa jicho la kiufundi utaona tatizo sio umri au kuchoka kwa wachezaji........ Tatizo ni mbinu za mwalimu, inaonekana bado anapata tabu sana kukabiliana na mazingira mazima ya mipira yetu ya kiafrika
Kama tunataka kurudi kwenye ubora wetu nadhani Pablo sio mtu sahihi tulikosea
Haya kafunga huko Kib wako 😂sioni tatizo la kocha,unataka kocha akamtengee Kibu mpira karibu kabisa na goli afunge?
Kumuaccomodate mchezaji. Inawezekana Kibu au Kagere hawatakiwi kukaa mbali na lango ili wakokote wakafungwa. Kutoka magoli 16 mpaka 0 kwa Boko halafu useme ni umri,hiyo negative slope ni kubwa sanasioni tatizo la kocha,unataka kocha akamtengee Kibu mpira karibu kabisa na goli afunge?
Ni suala la muda tu, bora ujiandae mapema usijidanganye Simba atafungwa na Pamba.Una maana hiyo Simba imeshatinga hiyo nusu fainali??!!