Simba SC amkeni upesi kwani mnahujumiwa na N-CARD ili Tiketi zisumbue Mtandaoni na Uwanja usijae Jumapili

Simba SC amkeni upesi kwani mnahujumiwa na N-CARD ili Tiketi zisumbue Mtandaoni na Uwanja usijae Jumapili

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Haiingii Akilini wakati wa Wiki ya Mwananchi inayohusisha Klabu mbovu ya Yanga upatikanaji wa Tiketi kwa njia ya N-CARD ( Mtandao ) ulikuwa hausumbui ila kwa Wiki hii ya Simba Day mpaka leo kila Kona ni Malalamiko ya Tiketi Kusumbua.

Wewe Waziri ( mwana Yanga SC ) na uliye na Dhamana na Wizara Muhimu sana Tanzania acha Kutumia Cheo chako na Kushirikiana na Watu wa Data ( hawa wa N-CARD ) ili Kucheza za mfumo wa Internet ili uwe taratibu ( Slow ) na Wapenzi wa Simba SC wakasirike na wakate Tamaa Kukata Tiketi kusudi Uwanja wa Mkapa Usifurike mpaka Pomoni Siku ya Kilele cha Simba Day Jumapili tarehe 19 Septemba, 2021.

Na nyie Uongozi wa Simba SC Mwekezaji Mohammed Dewji, CEO Barbara Gonzalez, Mwenyekiti upande wa Wanachama Mzee Mangungu, Kaimu Msemaji wa Simba SC Ezekiel Kamwaga na Waratibu wa Tamasha hili akina Mulamu Ng'ambi amkeni upesi mlishtukie na mlishughulikie hili haraka kwani N-CARD Wanatumika Kimkakati Kuihujumu Simba SC katika Tiketi Mtandao ili Uwanja usijae na tuchekwe kama si Kuumbuka pia.

Msije kusema Mightier sijawaambieni.
 
KIMEUMANAAAAAA
Mwambieni huyu Waziri ( Mr. Tanzania Shingoni ) aache Kutuhujumu Simba SC kupitia Maelekezo yake kwa hao Watu wa Data akina N-CARD kwani hiyo Nafasi anaweza kujikuta anaikosa na akajuta asiamini.
 
Mwambieni huyu Waziri ( Mr. Tanzania Shingoni ) aache Kutuhujumu Simba SC kupitia Maelekezo yake kwa hao Watu wa Data akina N-CARD kwani hiyo Nafasi anaweza kujikuta anaikosa na akajuta asiamini.
Umesoma Darasa 1 na POPOMA Miandiko inalandana Kweri kweriii
 
Haiingii Akilini wakati wa Wiki ya Mwananchi inayohusisha Klabu mbovu ya Yanga upatikanaji wa Tiketi kwa njia ya N-CARD ( Mtandao ) ulikuwa hausumbui ila kwa Wiki hii ya Simba Day mpaka leo kila Kona ni Malalamiko ya Tiketi Kusumbua.

Wewe Waziri ( mwana Yanga SC ) na uliye na Dhamana na Wizara Muhimu sana Tanzania acha Kutumia Cheo chako na Kushirikiana na Watu wa Data ( hawa wa N-CARD ) ili Kucheza za mfumo wa Internet ili uwe taratibu ( Slow ) na Wapenzi wa Simba SC wakasirike na wakate Tamaa Kukata Tiketi kusudi Uwanja wa Mkapa Usifurike mpaka Pomoni Siku ya Kilele cha Simba Day Jumapili tarehe 19 Septemba, 2021.

Na nyie Uongozi wa Simba SC Mwekezaji Mohammed Dewji, CEO Barbara Gonzalez, Mwenyekiti upande wa Wanachama Mzee Mangungu, Kaimu Msemaji wa Simba SC Ezekiel Kamwaga na Waratibu wa Tamasha hili akina Mulamu Ng'ambi amkeni upesi mlishtukie na mlishughulikie hili haraka kwani N-CARD Wanatumika Kimkakati Kuihujumu Simba SC katika Tiketi Mtandao ili Uwanja usijae na tuchekwe kama si Kuumbuka pia.

Msije kusema Mightier sijawaambieni.
 
Dah kumbe Bashungwa ashaanza kufanya hujuma sema mwambie fresh tu ila ajue ata usipo jaa hili shoo tumeanzisha sisi na hatushindani na mtu make sisi ndo wenye hizi kazi

#one team one dream
 
Ya mwaka Jana nayaona tena simba day ya mwaka huu sasa sijui viongozi wanafanya kazi gani
 
Watajwa hapo juu katika Headline yangu acheni Kutumia Uyanga wenu uliopitiliza kwa Kuihujumu Simba SC kwa kupitia Madaraka yenu ya Kiserikali mliyonayo kwani msipoangalia mtaleta Chuki, Mgawanyiko na kumfanya Rais Samia achukiwe na wana Simba SC kisha imgharimu pia Kisiasa.

Tunajua kuwa mpo katika Kikosi Kazi Maalum cha wana Yanga SC walioko Serikalini na wenye Nyadhifa Kubwa kutumika Kuihujumu Simba SC kwa kila namna kwa Maagizo ya Mstaafu Mmoja mwana Yanga SC lia lia mwenye Ushawishi mkubwa katika Serikali hii ya Rais Samia ( Bi. Hangaya )

Waziri Dk. Nchemba unajulikana hujawahi kuipenda Simba SC na kuna Kipindi ulipokuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ulitumia Nguvu kubwa sana Kuihujumu Simba SC pale ilipocheza na Prisons FC ya Mbeya ila wana Simba SC tulikunyamazia kwakuwa tumetawaliwa na Uungwana Uliotutukuka.

Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Abbas Wewe ndiyo hata huwa hufichi Chuki zako za Wazi kwa Klabu ya Simba na ndiyo maana ulipokuwa Msemaji wa Serikali hukupenda kabisa Umaarufu mkubwa wa aliyekuwa Msemaji wa Simba SC Haji Manara uendelee na ulimkalia sana Vikao vya Kumchukulia Hatua ila Busara za Wakubwa wako zilitawala na ukatulia japo hukumpenda kwa alikuwa akikufunika Kiumaarufu Tanzania.

Waziri Dk. Nchemba na Katibu Mkuu Dk. Abbas msidhani wana Simba SC tulio na Akili nyingi na kubwa ( za Kuzaliwa nazo ) tena za Kuwazidi japo mna Doctorates zenu akina Mightier hatujui nini mnakifanya katika Kuihujumu Simba SC kwa Kushirikiana na Watu wa Data akina N-CARD ili Klabu ya Simba ikose Mapato na katika Siku ya Simba Day Jumapili tarehe 19 Septemba, 2021 Uwanja usijae ili nyie Wana Yanga SC Waandamizi na Yanga SC wengine muicheke Simba SC kuwa haikujaza katika Tamasha lao kama lenu.

Mwisho namalizia tu kwa Kuwataarifu Waziri Dk. Nchemba na Katibu Mkuu Dk. Abbas kuwa Klabu ya Simba leo kupitia Matawi yake yote inafanya DUA ya Kuiombea Baraka Klabu na ya Kuwaombea MABAYA wale wote wenye Hila, Husuda na Roho Mbaya dhidi ya Simba SC na Wanatumika kwa kila namna katika Kuihujumu.

Msije tu kusema Mightier sikuwaonyeni.
 
Wapuuuzi sana, mbona kwenye Mwananchi Day hawakuleta huu uhalo wao. Na Uwanja tutaujaza
 
Simba SC walie na Waziri Mmoja aliyekuwa na Timu yake Mkoa wenye Kuku wengi Tanzania.

Simba SC walie na Katibu Mkuu Mmoja wa Wizara ambayo hata Mbwana Samatta anawajibika nayo.

Hawa Viongozi Wawili ( ambao ni Yanga SC lia lia ) kwa Kushirikiana na Mstaafu Mmoja Kikatiba ndiyo wanaishurutisha N-CARD kufanya Hujuma hii kwa Simba SC ili tu ikose Mapato Makubwa na Simba Day ya Jumapili ( Keshokutwa ) Uwanja usijae ili Watucheke na Yanga SC yao ibakie na Rekodi ya Kuujaza Uwanja katika Tamasha lao la Siku ya Wananchi.

Mightier nikija na Mada huwa naziamini.
 
Nachojiuliza hivi hawa serikali hawapati mapato kwenye tiketi za mpira? Why waruhusu hujuma hii kila mara? Huu sio uhujumu uchumi? Kuliko kupambana na tozo za lawama na manung'uniko hii pesa mbona mtu anatoa Bila kinyongo na serikali inapata chake!.
Nilivyoona juzi katibu mkuu mmoja kavamia mahojiano ya Simba efm na kuanza kujitapatapa nikajisemea hawa ndo wamefika huku? Wanataka kupitisha mambo yao kwenye shughuli za wenzao!!
Mbona mambo yote tumewaachia serikali wafanye watakavyo why hawaridhiki mpaka wanatuingilia kwenye mpira?!
Yaani siwaelewi kabisa
 
Halafu w/ndani hutaki hawa watu wasemwe kweli pamoja na uharamia huu wote?!
 
Back
Top Bottom