Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Kwa zile beki za Simba sijui,labda tumtume mbinguni Zumaridi akachonge na godi afanye mafyekeche.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa zile beki za Simba sijui,labda tumtume mbinguni Zumaridi akachonge na godi afanye mafyekeche.
Unauliza kwa timu gani uko sawa kweli mkuu?Kwa timu gani uliyonayo?hiyo Robo fainali tuu umefika kwa kuunga unga
Sent using Jamii Forums mobile app
Unauliza kwa timu gani uko sawa kweli mkuu?
Hiyo ya kuungaunga ipo robo klabu bingwa yako iliyokamilika ha ha ilifurushwa iko huko na underdog wenzake mnapigiana kelele
Lini wewe utakutana na giants wa Afrika kama pyramid tu mmekesha mkitambika msikutane nao
FAR Rabat alikua anaongoza kundi tutapangwa nae vipi?Nliona hadi rais anafurahi kupangiwa rivers,yaani wameshangilia sana walikuwa wanahofu kupangiwa wamorocco as far rabart...sasa watapata wapi ukubwa kama kila siku wanacheza na vibonde??timu pekee kubwa ambayo simba haijacheza nayo mpaka sasa ni mamelodi na kina pyramid hao ndo wakubwa wenzetu.
Tulimfunga ahly mara mbili na alikuwa mara mara100 ya wydadWydad ni mara tatu ya RajaView attachment 2578147
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Wydad kampiga Al Ahly kama mtotoTulimfunga ahly mara mbili na alikuwa mara mara100 ya wydad
Hebu tutolee historia yako isiyo na mashiko hapa.SIMBA KAMTOA ZAMALECK BINGWA MTETEZI NYUMBANI KWAO MISRI 2003.
1. Juma kaseja.
2. Said swedi.
3. Ramadhani waso.
4. Victor Costa.
5. Boniface pawasa.
6. Christofer Alex.
7. Yusuph Macho.
8. Suleiman MATOLA.
9. Emanuel Gabliel.
10. Otman Machupa.
11. Ulmboka mwakingwe.
Atakuwa wydad????
Nyie kombe lenu ni lipi?
Ngoja niwaulize rivers utd
Unauliza loser watakusaidia niniNgoja niwaulize rivers utd
Unaumia?Kwanini hakuna mchambuzi wala mwanayanga anaeongelea kombe lao la shirikisho ? Wote wanaongelea kombe la klabu bingwa tu.
Au kwakuwa huko shirikisho ni timu dhaifu na klabu bingwa ni timu kisawasawa?