Simba SC hamna uwezo wa kugomea mechi kama Yanga SC tulivyofanya

Simba SC hamna uwezo wa kugomea mechi kama Yanga SC tulivyofanya

Kwani yanga na simba nani kapanda ndege mara nyingi?(kushiriki mashindano ya kimataifa)
Kuna mtu kaanza Form one na hadi kamaliza form 4 hajawahi kuzisikia Yanga ukichukua kombe na siajabu ataenda kumali form 6 asione na ikiwezekana Hadi amalize degree!!..Hapo ndio utajua Ukubwa wa Yanga ni kuifunga Simba sio kuchukua Ubingwa
 
1998 yanga ilikua timu ya kwanza kuingia hatua za makundi CAFCL na alifika mpaka robo(kumbuka hapa kwenye makundi timu zilikua 32 na sio 16 kama sasa)

2014/15, 2015/16, 2016/17
Yanga ndio timu ya kwanza kucheza mashindano mawili mfululizo katika miaka hiyo mitatu ilianzia katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa na iliposhindwa huko ilishushwa kushiriki mashindano ya kombe la Shirikisho.
Baada ya kushushwa katika hatua ya kombe la Shirikisho ilifanikiwa kuingia katika hatua ya makundi mara mbili msimu wa mwaka 2015/16 na msimu wa 2017/17.

Simba ndo mara yao ya kwanza kuingia hatua ya makundi ya shirikisho mwaka huu.

Kingine..?
Toa ujinga wako hapa
 
Ukubwa wa Simba SC haujai hata kiganjani ukilinganisha na Yanga SC.

Nasema haya nikimaanisha namna ambayo Yanga ilivyo more influencial kuliko Simba.

Kama Simba ikigomea mechi kuna uwezekano mkubwa sana rungu la kukatwa point likàwashukia kwasababu hawana watu makini wa kutafsiri kanuni za soka kama ilivyo kwa Yanga SC.

Ikumbukwe Derby ya mwisho Yanga aligoma kuingiza timu uwanjani kwa madai ya kanuni zimeyumbishwa.

Yanga iliweza kusimamia msimamo wake na hakuna mbuzi iliyojaribu hata kuwakata alama.

Nina waonya Simba SC ole wenu mkubali kupotoshwa na wataalamu wenu wa kutafsiri kanuni waliosoma Diploma za Online.

Uwanja ni lazima yawepo Mabango Makubwa ya Chapa GSM. Mkigoma kuingiza timu tutawafuata huko huko Mo Arena tukipige cha kirafiki.

View attachment 2039318
Kakojoe ukalale uto
 
Ukubwa wa Simba SC haujai hata kiganjani ukilinganisha na Yanga SC.

Nasema haya nikimaanisha namna ambayo Yanga ilivyo more influencial kuliko Simba.

Kama Simba ikigomea mechi kuna uwezekano mkubwa sana rungu la kukatwa point likàwashukia kwasababu hawana watu makini wa kutafsiri kanuni za soka kama ilivyo kwa Yanga SC.

Ikumbukwe Derby ya mwisho Yanga aligoma kuingiza timu uwanjani kwa madai ya kanuni zimeyumbishwa.

Yanga iliweza kusimamia msimamo wake na hakuna mbuzi iliyojaribu hata kuwakata alama.

Nina waonya Simba SC ole wenu mkubali kupotoshwa na wataalamu wenu wa kutafsiri kanuni waliosoma Diploma za Online.

Uwanja ni lazima yawepo Mabango Makubwa ya Chapa GSM. Mkigoma kuingiza timu tutawafuata huko huko Mo Arena tukipige cha kirafiki.

View attachment 2039318
Huzijui vizuri hizi timu
 
Mr muharo unaendeleaje huko?
Ukubwa wa Simba SC haujai hata kiganjani ukilinganisha na Yanga SC.

Nasema haya nikimaanisha namna ambayo Yanga ilivyo more influencial kuliko Simba.

Kama Simba ikigomea mechi kuna uwezekano mkubwa sana rungu la kukatwa point likàwashukia kwasababu hawana watu makini wa kutafsiri kanuni za soka kama ilivyo kwa Yanga SC.

Ikumbukwe Derby ya mwisho Yanga aligoma kuingiza timu uwanjani kwa madai ya kanuni zimeyumbishwa.

Yanga iliweza kusimamia msimamo wake na hakuna mbuzi iliyojaribu hata kuwakata alama.

Nina waonya Simba SC ole wenu mkubali kupotoshwa na wataalamu wenu wa kutafsiri kanuni waliosoma Diploma za Online.

Uwanja ni lazima yawepo Mabango Makubwa ya Chapa GSM. Mkigoma kuingiza timu tutawafuata huko huko Mo Arena tukipige cha kirafiki.

View attachment 2039318
 
Ukubwa wa Simba SC haujai hata kiganjani ukilinganisha na Yanga SC.

Nasema haya nikimaanisha namna ambayo Yanga ilivyo more influencial kuliko Simba.

Kama Simba ikigomea mechi kuna uwezekano mkubwa sana rungu la kukatwa point likàwashukia kwasababu hawana watu makini wa kutafsiri kanuni za soka kama ilivyo kwa Yanga SC.

Ikumbukwe Derby ya mwisho Yanga aligoma kuingiza timu uwanjani kwa madai ya kanuni zimeyumbishwa.

Yanga iliweza kusimamia msimamo wake na hakuna mbuzi iliyojaribu hata kuwakata alama.

Nina waonya Simba SC ole wenu mkubali kupotoshwa na wataalamu wenu wa kutafsiri kanuni waliosoma Diploma za Online.

Uwanja ni lazima yawepo Mabango Makubwa ya Chapa GSM. Mkigoma kuingiza timu tutawafuata huko huko Mo Arena tukipige cha kirafiki.

View attachment 2039318
Yaani utopolo awe na viongozi makini juu ya kanuni na sheria za mpira kuliko simba? Unaota au? Kama Morrison tu kawagalagaza huko Cas bado unaongea utumbo kama huu?
Waulize Tp mazembe watakwambia mziki wa simba ukoje.
 
Back
Top Bottom