Simba SC hata wakipewa miaka kumi ya kujiandaa Kama walivyoiomba Bodi ya ligi ni ngumu kuifunga Al Ahly

Simba SC hata wakipewa miaka kumi ya kujiandaa Kama walivyoiomba Bodi ya ligi ni ngumu kuifunga Al Ahly

FB_IMG_16963880564070765.jpg
 
Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye.
Mithali 26:4
 
Ndiyoo!! Nilishangazwa na timu ya Simba sc kuomba mchezo wao dhidi ya Singida fountain Gate Fc kupelekwa mbele ili wafanye maandalizi ya kukutana na Al ahly ya Cairo misri.

Ni Bora Simba sc wacheze mechi na Singida fountain Gate Fc ili ikitokea wamepigwa goli za kutosha na kutolewa katika michuano hiyo ya mbuzi Al maarufu super league wawe na Cha kusingizia kwamba walicheza mechi ngumu kabla ya kukutana na Al ahly.

Gape la kutoka tar 8 mpaka tar 20 ni kubwa mno na wachezaji watakua wamepnzika vya kutosha Sasa sijui Simba wana malengo gani kuomba mechi Yao dhidi ya Singida fountain Gate kupelekwa mbele.

Bodi ya ligi wakitoa hata miaka kumi kwa Simba bado ni ngumu kwa Simba sc kumfunga Al ahly Hilo halina ubishi Wala halina unafiki.
Ngoja wapigwe kwanza nje ndani na hao Al Ahly! Na kwenye makundi nako washike mkia, ili zile kelele zao za kumkataa Robertinho zianze upya.
 
Ugonjwa huo wa kupoteza KUMBUKUMBU ndio umekuanza au UMEKURUDIA?
Sio ugonjwa wa kumbukumbu. Ni kichaa kabisa. Alikuja na madudu kabla ya mechi na Prisons akabaki na aibu ya kudai mechi itachezwa Nelson Mandela.Huyu ni kichaa msimchukulie serious. Anangoja nafasi tu Mirembe.Kadi tayari bado anangoja kitanda.
 
Sio ugonjwa wa kumbukumbu. Ni kichaa kabisa. Alikuja na madudu kabla ya mechi na Prisons akabaki na aibu ya kudai mechi itachezwa Nelson Mandela.Huyu ni kichaa msimchukulie serious. Anangoja nafasi tu Mirembe.Kadi tayari bado anangoja kitanda.
HUNA MARINDA NA HUNA AKILI [emoji41]
 
Zuchu aliimba hivi

Wan tu
Wan tu
Eh
Maiki cheki😂😂😂
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Breaking News nasikia Utopolo wengi wameshikwa na tumbo la kuhara baada ya kuona kundi lao.Mara nyingi mdomo huponza.Uliyemtaja kaja.
 
Ndiyoo!! Nilishangazwa na timu ya Simba sc kuomba mchezo wao dhidi ya Singida fountain Gate Fc kupelekwa mbele ili wafanye maandalizi ya kukutana na Al ahly ya Cairo misri.

Ni Bora Simba sc wacheze mechi na Singida fountain Gate Fc ili ikitokea wamepigwa goli za kutosha na kutolewa katika michuano hiyo ya mbuzi Al maarufu super league wawe na Cha kusingizia kwamba walicheza mechi ngumu kabla ya kukutana na Al ahly.

Gape la kutoka tar 8 mpaka tar 20 ni kubwa mno na wachezaji watakua wamepnzika vya kutosha Sasa sijui Simba wana malengo gani kuomba mechi Yao dhidi ya Singida fountain Gate kupelekwa mbele.

Bodi ya ligi wakitoa hata miaka kumi kwa Simba bado ni ngumu kwa Simba sc kumfunga Al ahly Hilo halina ubishi Wala halina unafiki.

Mbona hata ‘Nyuma mwiko’ kapangwa kundi moja D na Al Ahly! Hapo unatuambia nini kuhusu ‘Nyuma mwiko’.
 
Back
Top Bottom