Simba Sc hatujamaliza, Saa 7 tunasambaratisha kila kitu

Simba Sc hatujamaliza, Saa 7 tunasambaratisha kila kitu

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Ins52160607660_99e6f372973148c78026eff17fbd7e1a_362323357_196880729736447_787093262645778626_n.jpg

Ins52160607660_18b36ec9cadb492eb91fb7bdc4bf1105_361744619_980725283353550_5992560171774580472_n.jpg


Wakati kibegi kikiendelea kurindima na nyuzi kali, fahamu kwamba hatujamalizaa. Leo saa 7 mchana tunamtangaza mkali wao na kusambaratisha kila kitu.
Ins52160607660_9ff592a2cc1640e6a2e855d1d9245345_362675579_1252177422114350_2600607603821577756_n.jpg
Ins52160607660_7c20b2f292004fefbc6708b67657069b_362702395_662216585425956_3641635172999715433_n.jpg
 
View attachment 2695885
View attachment 2695886

Wakati kibegi kikiendelea kurindima na nyuzi kali, fahamu kwamba hatujamalizaa. Leo saa 7 mchana tunamtangaza mkali wao na kusambaratisha kila kitu.
Chonde chonde jaman wana Simba, sisi Yanga tuna sherehe yetu leo, mnachotaka kukifanya kitazima shamra shamra zetu. Sherehe yenyewe tayari ishadoda wiki nzima hakuna hata anaeizungumzia.

Tunawaomba wanasimba mkiwa kama wakubwa wenzetu na wana Kariakoo wenzetu msifanye hicho mnachotaka kukifanya, sisi ni wamoja na haya mambo yanazungumzika.

Sababu siku za usajili bado zipo tunawaomba msogeze mbele hili tukio ili tumalize sherehe yetu iliyododa.
👐
 
Chonde chonde jaman wana Simba, sisi Yanga tuna sherehe yetu leo, mnachotaka kukifanya kitazima shamra shamra zetu. Sherehe yenyewe tayari ishadoda wiki nzima hakuna hata anaeizungumzia.

Tunawaomba wanasimba mkiwa kama wakubwa wenzetu na wana Kariakoo wenzetu msifanye hicho mnachotaka kukifanya, sisi ni wamoja na haya mambo yanazungumzika.

Sababu siku za usajili bado zipo tunawaomba msogeze mbele hili tukio ili tumalize sherehe yetu iliyododa.
👐
Kwikwikwikwikwi.....
 
Back
Top Bottom