Simba Sc hatujamaliza, Saa 7 tunasambaratisha kila kitu

Simba Sc hatujamaliza, Saa 7 tunasambaratisha kila kitu

VVIP ni tickets ambazo hata 15 hazifiki.

Ni tickets ambazo hazifikii hata robo ya thamani kwenye mzunguko.

Wishing ya Club ni kuona watu wengi wananunua tickets z mzunguko maana huko ndiko faida ilipo.

Hizo tickets za VVIP mostly zimenunuliwa na vigogo wa serikali ( wakina mwigulu nk) ambao hao sio wakutoa vibe uwanjani.

Na sometimes unaweza kuta wamenunua halafu siku ya tukio wasitokee.
Unaumia nini? sema kinacho kuuma tukusaidie yaani mwaka mzima wewe ni vilio tu
 
Nani alikwambia huyo no 6 alikua anavaa hio number before? mmekutolea mfano wa Ronaldo ni lini alivaa jersey number 9 ?
1690028600264.png
 
Kichwa cha habari "Simba kuisambaratisha Yanga"
Content " Yanga day "
Nyie mbumbumbu mnatuchosha
 
Kibegi nikizuri kuliko jezi zenyewe[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom