Simba Sc hatujamaliza, Saa 7 tunasambaratisha kila kitu

Simba Sc hatujamaliza, Saa 7 tunasambaratisha kila kitu

Jamaa wameshamshtukia injinia si kawapanga kuhusu namba sita kifupi wananchi imani na huu usajili wao hawana
Na Skudu ni kama ali sense danger

Akapiga hesabu kwa umri huu na kiwango hiki nilichonacho mbona kama hakiendani na promo wanayonipigia.

Ikabidi tu awe muwazi kuwachana mashabiki ukweli kuwa kuvaa jezi namba 6 alishawishiwa na boss kubwa.
 
Kwani uongo kuwa Skudu alilazimishwa kuvaa jezi namba 6?
Ni ajabu timu kumchagulia mchezaji number ya kuvaa,? Ronaldo wakati anaenda Madrid alipewa jezi number ngapi same to Hazard alichagua jezi number ngapi lakini Madrid waka mwambia avae number 7 ? mbona unakuaga mbumbumbu chronic?
 
Ni ajabu timu kumchagulia mchezaji number ya kuvaa,? Ronaldo wakati anaenda Madrid alipewa jezi number ngapi same to Hazard alichagua jezi number ngapi lakini Madrid waka mwambia avae number 7 ? mbona unakuaga mbumbumbu chronic?
Sasa kama sio ajabu why unione mbaya kwa kuongea ukweli?

Au kwakuwa huo ukweli nimeusema mimi?
 
Haya maisha haya we yaache tu
Screenshot_20230722-115512.png
 
Sasa kama sio ajabu why unione mbaya kwa kuongea ukweli?

Au kwakuwa huo ukweli nimeusema mimi?
Ukweli gani vitu vidogo mnataka kuvifanya story, hapo umbumbuni kabla Chama hajarudi alie kua ana vaa jezi number 17 alikua nani? alipo rudi mungu wengu akapokonywa mbona haikua issue
 
Back
Top Bottom