Simba Sc hatujamaliza, Saa 7 tunasambaratisha kila kitu

Simba Sc hatujamaliza, Saa 7 tunasambaratisha kila kitu

Ukweli gani vitu vidogo mnataka kuvifanya story, hapo umbumbuni kabla Chama hajarudi alie kua ana vaa jezi number 17 alikua nani? alipo rudi mungu wengu akapokonywa mbona haikua issue
Utofauti ni kwamba huyo Skudu katika carrier yake hajawahi kuvaa jezi namba 6

Na nyie milikuwa mmetengeneza attention kuwaandaa mashabiki kuwa mchezaji mtakaye msajili anavaa jezi namba 6 ni hatari.

Hapo ndipo mlipokosea.

Kwasababu watu walijua huyu namba 6 kivyovyote ni jezi ambayo amekuwa akiitumikia tangu huko alipotoka.

Sasa kuja kumsajili Skudu ambaye hajawahi vaa jezi namba 6 na wala kwake hiyo sio favourite namba, ila mkatumia ushawishi avae jezi namba 6 kwasababu mlikwisha toa ahadi kwa mashabiki wenu hiyo haiwezi kuwa sawa.
 
Screenshot_20230722-130201.png
 
Kuna kusajiri na kuna kusajiri historia, Simba wamesajiri historia but awajasajiri kwa mujibu ya mapungufu yao bali ni usajiri wa propaganda kwa viongozi, Sidhani kama Uyo scout pamoja na kocha Robertinho walipendekeza huu usajiri wa Miquisoni, Mbivu na mbichi tutaziona kwenye pitch kuna hatari akachezea benchi mechi nyingi kama sio pendekezo la kocha kutokana na mwenendo wake uko alikotoka
 
Kuna kusajiri na kuna kusajiri historia, Simba wamesajiri historia but awajasajiri kwa mujibu ya mapungufu yao bali ni usajiri wa propaganda kwa viongozi, Sidhani kama Uyo scout pamoja na kocha Robertinho walipendekeza huu usajiri wa Miquisoni, Mbivu na mbichi tutaziona kwenye pitch kuna hatari akachezea benchi mechi nyingi kama sio pendekezo la kocha kutokana na mwenendo wake uko alikotoka
Wenzio hawataki kusikia kitu kama hiki, hawakujifunza kwa Makambo na Yanga.
 
Kuna kusajiri na kuna kusajiri historia, Simba wamesajiri historia but awajasajiri kwa mujibu ya mapungufu yao bali ni usajiri wa propaganda kwa viongozi, Sidhani kama Uyo scout pamoja na kocha Robertinho walipendekeza huu usajiri wa Miquisoni, Mbivu na mbichi tutaziona kwenye pitch kuna hatari akachezea benchi mechi nyingi kama sio pendekezo la kocha kutokana na mwenendo wake uko alikotoka
Yaani unajiuliza maswali lakini mwisho unasema mbivu na mbichi mtaziona sasa hoja yako nini sasa, we si ngoja uone..Ungeshauri Uto wasipeleke timu uwanjani ingekuwa poa sana.
 
Mkuu kila moja na mipango yake falsafa yake Simba si Yanga na mbona husemi kuwa hawajajifunza kwa Claotus Chama? Je Chama mpaka sasa hajaleta kilichokusudiwa?
Huyo jamaa ni kama kapagawa. Haya mambo hayana fomula. Sijui akili gani anatumia kumchukulia Makambo kama scientific fomula. Alirudi Okwi, akarudi Chama sembuse Luis?
 
Una makengeneza.
VVIP ni tickets ambazo hata 15 hazifiki.

Ni tickets ambazo hazifikii hata robo ya thamani kwenye mzunguko.

Wishing ya Club ni kuona watu wengi wananunua tickets z mzunguko maana huko ndiko faida ilipo.

Hizo tickets za VVIP mostly zimenunuliwa na vigogo wa serikali ( wakina mwigulu nk) ambao hao sio wakutoa vibe uwanjani.

Na sometimes unaweza kuta wamenunua halafu siku ya tukio wasitokee.
 
Huyo ni Reject ya Al Ahaly.
Ambapo Al Ahly ndio Club namba 1 Africa

Na juzi hapo imesajili mchezaji kutoka Ulaya kwa Bilion 7

Huyo mchezaji ndio replacement ya Miquisson

Kwa hali hiyo its fine.
 
Ambapo Al Ahly ndio Club namba 1 Africa

Na juzi hapo imesajili mchezaji kutoka Ulaya kwa Bilion 7

Huyo mchezaji ndio replacement ya Miquisson

Kwa hali hiyo its fine.
Kwani Dijan si mzungu pia? Lete mzunguuuu.
 
Una makengeneza.

Hizo VVIP tiketi unaweza kutuambia zilikuwa ngapi?
Halafu vipi tukisema hakuna hizo VVIP tiketi, kwamba ni mbinu tu ya kibiashara ilitumika kuonyesha kuwa kuna watu wenye mapenzi mema na timu na hawana shida kununua hizo tiketi za pesa ndegu?
Hivi unajua hata simba kwenye tamasha lao wanaweza kuunda tiketi za VVIP na wakatangaza bei ni million 5, baada ya siku kadhaa wanasema sold out..!??
 
Utofauti ni kwamba huyo Skudu katika carrier yake hajawahi kuvaa jezi namba 6

Na nyie milikuwa mmetengeneza attention kuwaandaa mashabiki kuwa mchezaji mtakaye msajili anavaa jezi namba 6 ni hatari.

Hapo ndipo mlipokosea.

Kwasababu watu walijua huyu namba 6 kivyovyote ni jezi ambayo amekuwa akiitumikia tangu huko alipotoka.

Sasa kuja kumsajili Skudu ambaye hajawahi vaa jezi namba 6 na wala kwake hiyo sio favourite namba, ila mkatumia ushawishi avae jezi namba 6 kwasababu mlikwisha toa ahadi kwa mashabiki wenu hiyo haiwezi kuwa sawa.
Nani alikwambia huyo no 6 alikua anavaa hio number before? mmekutolea mfano wa Ronaldo ni lini alivaa jersey number 9 ?
 
Back
Top Bottom