Na Skudu ni kama ali sense dangerJamaa wameshamshtukia injinia si kawapanga kuhusu namba sita kifupi wananchi imani na huu usajili wao hawana
Umeanza u hater wako wewe jamaa una kila dalili za uchawiNa Skudu ni kama ali sense danger
Akapiga hesabu kwa umri huu na kiwango hiki nilichonacho mbona kama hakiendani na promo wanayonipigia.
Ikabidi tu awe muwazi kuwachana mashabiki ukweli kuwa namba 6 alishawishiwa na boss kubwa.
Basi geuza hizo likes ziwe hata kombe la mapinduzi tuone
Kwani uongo kuwa Skudu alilazimishwa kuvaa jezi namba 6?Umeanza u hater wako wewe jamaa una kila dalili za uchawi
Ni ajabu timu kumchagulia mchezaji number ya kuvaa,? Ronaldo wakati anaenda Madrid alipewa jezi number ngapi same to Hazard alichagua jezi number ngapi lakini Madrid waka mwambia avae number 7 ? mbona unakuaga mbumbumbu chronic?Kwani uongo kuwa Skudu alilazimishwa kuvaa jezi namba 6?
TunawasubiriaLinaundwa kosi la Africa,sijui NBCpl itakiwaje. Kuna timu itakuja kula goli kumi
Kumbe mnafuata mdundo wa Yanga!?Ratiba ya simba leo ni kuua vurugu za uto tu, saa saba tunaleta mchezaji, tukisikia neno mwananchii tunaleta mvua, wachezaji wao wakianza kuingia uwanjani tunaleta mchezaji mungine, ubaya ubaya tu
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Ndo walichobakiwa nachoBasi geuza hizo likes ziwe hata kombe la mapinduzi tuone
Wewe demu ni shabiki wa mbumbumbuMm shabiki wa yanga ila simba mna sifa Jamani mpewe maua yenu
Sasa kama sio ajabu why unione mbaya kwa kuongea ukweli?Ni ajabu timu kumchagulia mchezaji number ya kuvaa,? Ronaldo wakati anaenda Madrid alipewa jezi number ngapi same to Hazard alichagua jezi number ngapi lakini Madrid waka mwambia avae number 7 ? mbona unakuaga mbumbumbu chronic?
Haya maisha haya we yaache tu
Litakuja jituView attachment 2695885
View attachment 2695886
Wakati kibegi kikiendelea kurindima na nyuzi kali, fahamu kwamba hatujamalizaa. Leo saa 7 mchana tunamtangaza mkali wao na kusambaratisha kila kitu.
Litakuja jitu
Ukweli gani vitu vidogo mnataka kuvifanya story, hapo umbumbuni kabla Chama hajarudi alie kua ana vaa jezi number 17 alikua nani? alipo rudi mungu wengu akapokonywa mbona haikua issueSasa kama sio ajabu why unione mbaya kwa kuongea ukweli?
Au kwakuwa huo ukweli nimeusema mimi?
Pelekeni hizo likes na comments TFF wakawape kombe haiwezekani huu ni uonevuHaya maisha haya we yaache tuView attachment 2695944
Marumo umehama lini?Mm shabiki wa yanga ila simba mna sifa Jamani mpewe maua yenu
Wewe kupona kichwa ni mpaka kiangazi kianze, haya mawingu siyo mazuri.Utopolo msimu huu wameyakanyaga
Huyo demu hana msimamo kila siku anahama magetho ya masela
Achana nae huyo tabia zake hizi hapaWewe kupona kichwa ni mpaka kiangazi kianze, haya mawingu siyo mazuri.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app