Simba SC imemtangaza Mshambuliaji Kivuli (False number nine) Willy Essomba Onana (23) Raia wa Cameroon kutokea Club ya Rayon Sports ya Rwanda

Simba SC imemtangaza Mshambuliaji Kivuli (False number nine) Willy Essomba Onana (23) Raia wa Cameroon kutokea Club ya Rayon Sports ya Rwanda

View attachment 2679159
Simba SC imekamilisha usajili wa Mshambuliaji Kivuli (False number nine) Willy Essomba Onana (23) Raia wa Cameroon kutokea Club ya Rayon Sports ya Rwanda.

Onana amesaini Mkataba wa miaka miwili kuitumikia Simba SC na ana uwezo wa kucheza namba zaidi ya tatu uwanjani, winga zote mbili na kucheza nyuma ya mshambuliaji namba 10.

Msimu uliopita Onana aliibuka mfungaji bora wa Ligi Kuu ya Rwanda akiwa na magoli 16 na assist 5 lakini ni Mshindi wa tuzo ya Mchezaji bora wa Msimu nchini Rwanda yaani MVP
Simfahamu kiuchezaji, hivyo sitoweka neno angle hiyo.

Ninachoomba kujua, icho kibaba ni kweli kina miaka 23??
 
Kwa ufupi hakuna mchezaji mzuri west Africa akaja kucheza chini huku na hapa naongelea wote siongelei team moja ni team zote. mchezaji wa kiwango W.A haju huku ni simple tu, hao ni wachezaji wa kawaida tu kama tulionao tofauti majina yao na wanatumia profile ya nchi zao kuongeza thamani....
 
Nimejuliza hii kutambulisha mchezaji akiwa kavalia jezi ya msimu uliopita nafikiri ni bongo tu bado tuna safari ndefu..
By the way Onana ni mwamba sana.
 
Nimejuliza hii kutambulisha mchezaji akiwa kavalia jezi ya msimu uliopita nafikiri ni bongo tu bado tuna safari ndefu..
By the way Onana ni mwamba sana.
Chelsea sio ya bongo ila bado wanatumia Jersey za msimu uliopita kutambulisha wachezaji.
 
Kuna chuma nakisubiri kitambulishwe msimu ujao patachimbika yetu macho..
 
Hii timu watachapana sana viboko msimu ujao,yule mzee wa kususa ajiandae
Tumeshawazoea hawa. Huu ndiyo muda wao wa kujimwambafai. Halafu ligi ikianza kuchangamka, wanaanza tena kutupiana lawama.
 
Back
Top Bottom