kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Kufeli kwa kiwango Cha mmoja mmojaSasa Kam alikuwa na uwezo kwann hyo ryano spot hawajafika popote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufeli kwa kiwango Cha mmoja mmojaSasa Kam alikuwa na uwezo kwann hyo ryano spot hawajafika popote
Miaka 23, huyo kibabu? Ukisema 30 sawaView attachment 2679212
Simba SC imekamilisha usajili wa Mshambuliaji Kivuli (False number nine) Willy Essomba Onana (23) Raia wa Cameroon kutokea Club ya Rayon Sports ya Rwanda.
Onana amesaini Mkataba wa miaka miwili kuitumikia Simba SC na ana uwezo wa kucheza namba zaidi ya tatu uwanjani, winga zote mbili na kucheza nyuma ya mshambuliaji namba 10.
Msimu uliopita Onana aliibuka mfungaji bora wa Ligi Kuu ya Rwanda akiwa na magoli 16 na assist 5 lakini ni Mshindi wa tuzo ya Mchezaji bora wa Msimu nchini Rwanda yaani MVP
Kwa hiyo Okoye naye ni chuma?Kuna chuma nakisubiri kitambulishwe msimu ujao patachimbika yetu macho..
Chelsea wanafeli pakubwa sana kiasi kwamba hadi bongo wameiga.Tunafeli ndugu chukua hiyo!!
Endelea kukaza fuvu tu!!Chelsea wanafeli pakubwa sana kiasi kwamba hadi bongo wameiga.
🤷 Wewe wasema..Kwa hiyo Okoye naye ni chuma?
Naungana nawee kabisaa, kila nikimuangalia kipre Jr yaan ndo napata majibu sasa.Kwa ufupi hakuna mchezaji mzuri west Africa akaja kucheza chini huku na hapa naongelea wote siongelei team moja ni team zote. mchezaji wa kiwango W.A haju huku ni simple tu, hao ni wachezaji wa kawaida tu kama tulionao tofauti majina yao na wanatumia profile ya nchi zao kuongeza thamani....
Nimejuliza hii kutambulisha mchezaji akiwa kavalia jezi ya msimu uliopita nafikiri ni bongo tu bado tuna safari ndefu..
By the way Onana ni mwamba sana.
Mimi pia nilitaka kutia neno hapo kwenye kipengele cha umri. Hivi kweli hatujui kutofautisha kinda la miaka 23 na huyu kikongwe kweli jamani?Simfahamu kiuchezaji, hivyo sitoweka neno angle hiyo.
Ninachoomba kujua, icho kibaba ni kweli kina miaka 23??
Uwanjani wanacheza wangapi?Sasa Kam alikuwa na uwezo kwann hyo ryano spot hawajafika popote
Hayo maandishi unavyoyakata tu, inadhihirisha kuwa haustahili kushiriki mijadala ya JFSasa Kam alikuwa na uwezo kwann hyo ryano spot hawajafika popote
$200k kwa huyu mchezaji? mbona kama wameongeza sifuri moja mbele hawa jamaa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya mshambuliaji wa hela kubwa.Haya tutarudi baada ya mechi tano.
View attachment 2679252
Unapoteza bando lako kufatilia YouTubeOnana nimemcheki youtube ...kwa kifupi hana maajabu yoyote ni mchezaji wa kawaida sana bila shaka atakuwa amesajiliwa kishabiki tu!
We muulize tu kwani mwapunyeto ana miaka 23 kweli???Hivi mtu kua na Miaka 23 anakuaje kwa mfano, tafuta nduguzo wenye 23 uwaone walivokomaa mkuu, hua tunalaumu Bure tu kumbe hata wengine hawadanganyi.