Tutamkimbiza kama digidigi pale taifa we subiri taifa stazi ibanduliwe ndio atatujua.Tutawapiga uganda
HahahaTutamkimbiza kama digidigi pale taifa we subiri taifa stazi ibanduliwe ndio atatujua.
Lkn pia kitendo alichofanya kinawaharbia future wachezaji husika kuonekana watovu wa nidhamu, pia kinaipaka matope Brand ya THIS IS SIMBA BUUUANNA.Nafikir Klabu iwaombee msamaha awarudishe yaishe. Hata hivyo pamoja na kwamba wadau wanashangaa maoni yako lkn ukweli ni kwamba huyu kocha keshatangaza Vita na mashabiki wa Simba amini nakwambia hii Lugola Style yake imemharbia sana. Atazomewa tuuuuuu nasema atapata taabu saaaaaaaaaaana.Ameshaanza kuonyesha Chuki za wazi kabisa kwa Wachezaji wa Simba SC na hakuna asiyejua kwamba huyu Kocha pia ana mahaba mno na ya Rangi za Njano na Kijani na anajulikana tokea huko Kwao kwa Matapeli wa Afrika kama siyo dunia kwamba anachukia mno Rangi Nyekundu na Nyeupe kutokana na Imani zake za Kipuuzi.
Kwakuwa Tapeli Amunike ameanza sasa Sisi wana Simba SC tufanye haya upesi ili ajue kwamba Tanzania hii yetu bila Simba SC bado haijakamilika:
1. Tugomee kwenda Taifa kuangalia mpira
2. Na ikitokea tukaenda basi dakika zote 90 tuizomee Taifa Stars na kuishangilia Timu ngeni
3. Ikiwezekana tumtafutie Mganga wa Kienyeji mahiri amroge hadi aione Tanzania chungu na akimbie
4. Na ikitokea akaita tena Wachezaji wa Simba SC basi wajitahidi wawe wanazitafuta Kadi Nyekundu kwa makusudi ili Kuihujumu Timu ili achukiwe na afukuzwe upesi
5. Kuanzia leo tutangaze rasmi kuwa Adui namba moja wa Simba SC ni Tapeli Amunike kutoka Nigeria
Atatutambua Simba SC!
Back kamaivo simba iwetim ya taiga naona mnaogeyasan Alf hujuwi mpra tulien bac mnakuwakama watoto wadogoDuh.
Km kweli TZ tumefikia hatua hii, bhasi mafanikio tutayasikia tuu kwa wenzetu.Ameshaanza kuonyesha Chuki za wazi kabisa kwa Wachezaji wa Simba SC na hakuna asiyejua kwamba huyu Kocha pia ana mahaba mno na ya Rangi za Njano na Kijani na anajulikana tokea huko Kwao kwa Matapeli wa Afrika kama siyo dunia kwamba anachukia mno Rangi Nyekundu na Nyeupe kutokana na Imani zake za Kipuuzi.
Kwakuwa Tapeli Amunike ameanza sasa Sisi wana Simba SC tufanye haya upesi ili ajue kwamba Tanzania hii yetu bila Simba SC bado haijakamilika:
1. Tugomee kwenda Taifa kuangalia mpira
2. Na ikitokea tukaenda basi dakika zote 90 tuizomee Taifa Stars na kuishangilia Timu ngeni
3. Ikiwezekana tumtafutie Mganga wa Kienyeji mahiri amroge hadi aione Tanzania chungu na akimbie
4. Na ikitokea akaita tena Wachezaji wa Simba SC basi wajitahidi wawe wanazitafuta Kadi Nyekundu kwa makusudi ili Kuihujumu Timu ili achukiwe na afukuzwe upesi
5. Kuanzia leo tutangaze rasmi kuwa Adui namba moja wa Simba SC ni Tapeli Amunike kutoka Nigeria
Atatutambua Simba SC!
Halafu kesho na kesho kutwa tuje tuanze kutafuta mchawi kweli?Ameshaanza kuonyesha Chuki za wazi kabisa kwa Wachezaji wa Simba SC na hakuna asiyejua kwamba huyu Kocha pia ana mahaba mno na ya Rangi za Njano na Kijani na anajulikana tokea huko Kwao kwa Matapeli wa Afrika kama siyo dunia kwamba anachukia mno Rangi Nyekundu na Nyeupe kutokana na Imani zake za Kipuuzi.
Kwakuwa Tapeli Amunike ameanza sasa Sisi wana Simba SC tufanye haya upesi ili ajue kwamba Tanzania hii yetu bila Simba SC bado haijakamilika:
1. Tugomee kwenda Taifa kuangalia mpira
2. Na ikitokea tukaenda basi dakika zote 90 tuizomee Taifa Stars na kuishangilia Timu ngeni
3. Ikiwezekana tumtafutie Mganga wa Kienyeji mahiri amroge hadi aione Tanzania chungu na akimbie
4. Na ikitokea akaita tena Wachezaji wa Simba SC basi wajitahidi wawe wanazitafuta Kadi Nyekundu kwa makusudi ili Kuihujumu Timu ili achukiwe na afukuzwe upesi
5. Kuanzia leo tutangaze rasmi kuwa Adui namba moja wa Simba SC ni Tapeli Amunike kutoka Nigeria
Atatutambua Simba SC!
Na wewe tulia. Acha kuandika kama kilaza.Back kamaivo simba iwetim ya taiga naona mnaogeyasan Alf hujuwi mpra tulien bac mnakuwakama watoto wadogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wewe kwa ubongo wako umepangirika kisawasawa kweli? Mtu umemwambia njoo tarehe fulan halaf wewe una program fulan utawasubria waje muda wowote kisa mazoea MAMBO HAYO YAMEPTWA NA WAKATI mchezaji ambae atatoa udhuru yes Huyo ndie atakuwa mzur wewe unajiamlia ntaenda alhams ule bata kwanza?akl za ajabu sana hzo watu watabadilka nadhan kucheza tm ya taifa ni fursa pekee kwa watz wote wanaocheza mpra AMUNIKE UMEFANYA MAAMUZI SAHIHI NA UTAFANIKIWA SANA NADHANI TUMEPATA WA KUONDOA DHANA YA USIMBA NA UYANGAsyo siri kwa hili kocha amekurupuka ni bora angewachukua hata awaweke bench sasa hapo keshaigawa starz aambiwe tz kuna simba na yanga japo hakuna maendeleo