Simba SC Kocha Amunike ametubipu sasa Sisi tumpigie kwa style hii ili ajue kwamba Simba SC ni zaidi ya Yeye Wakuja na Mshamba tu!

Simba SC Kocha Amunike ametubipu sasa Sisi tumpigie kwa style hii ili ajue kwamba Simba SC ni zaidi ya Yeye Wakuja na Mshamba tu!

Hakika bado tuna safari ndefu sana. Haya wenzio wamekusikia.
Ameshaanza kuonyesha Chuki za wazi kabisa kwa Wachezaji wa Simba SC na hakuna asiyejua kwamba huyu Kocha pia ana mahaba mno na ya Rangi za Njano na Kijani na anajulikana tokea huko Kwao kwa Matapeli wa Afrika kama siyo dunia kwamba anachukia mno Rangi Nyekundu na Nyeupe kutokana na Imani zake za Kipuuzi.

Kwakuwa Tapeli Amunike ameanza sasa Sisi wana Simba SC tufanye haya upesi ili ajue kwamba Tanzania hii yetu bila Simba SC bado haijakamilika:

1. Tugomee kwenda Taifa kuangalia mpira
2. Na ikitokea tukaenda basi dakika zote 90 tuizomee Taifa Stars na kuishangilia Timu ngeni
3. Ikiwezekana tumtafutie Mganga wa Kienyeji mahiri amroge hadi aione Tanzania chungu na akimbie
4. Na ikitokea akaita tena Wachezaji wa Simba SC basi wajitahidi wawe wanazitafuta Kadi Nyekundu kwa makusudi ili Kuihujumu Timu ili achukiwe na afukuzwe upesi
5. Kuanzia leo tutangaze rasmi kuwa Adui namba moja wa Simba SC ni Tapeli Amunike kutoka Nigeria


Atatutambua Simba SC!
 
Huo ni upuuzi, Huyu mwalimu hakika anajitambua na analijuwa haswa tatizo letu ktk soka.
Kimsingi Amunike ametugawa! Hatapata mafanikio na ataondoka kwa aibu! Pengine asishinde mechi hata moja.
 
Mambo ya Simba na Yanga hayana nafasi enzi hizi, kila siku timu inatobolewa matundu tu, wacha tujaribu vipaji vingine, hakika tutafika, kubembelezana no.
syo siri kwa hili kocha amekurupuka ni bora angewachukua hata awaweke bench sasa hapo keshaigawa starz aambiwe tz kuna simba na yanga japo hakuna maendeleo
 
Jamaa kanikumbusha Maximo alivyokua kwenye suala la nidhamu japo alilaumiwa baadae kwa matokeo mabovu huyu ngoja tusubiri
 
Kimsingi Amunike ametugawa! Hatapata mafanikio na ataondoka kwa aibu! Pengine asishinde mechi hata moja.
hapana nidhamu ndio imewagawa, wapo washabiki wa wahuni na washabiki wa mpira halisi.

huwezi endelea kisoka ukiwa huna nidhamu
 
Kuna mawili kumhusu Mhe. Ismail Aden Rage: Aidha nabii au mchawi.

Tangu alipogusia uwepo wa mambumbumbu Msimbazi, kauli yake imeendelea kujidhihirisha siku hadi siku. Hakika mawazo yako yanafanania uchakavu wa jengo la klabu ya bilioni 1 nukta 3

SAM_0446.JPG
 
Ameshaanza kuonyesha Chuki za wazi kabisa kwa Wachezaji wa Simba SC na hakuna asiyejua kwamba huyu Kocha pia ana mahaba mno na ya Rangi za Njano na Kijani na anajulikana tokea huko Kwao kwa Matapeli wa Afrika kama siyo dunia kwamba anachukia mno Rangi Nyekundu na Nyeupe kutokana na Imani zake za Kipuuzi.

Kwakuwa Tapeli Amunike ameanza sasa Sisi wana Simba SC tufanye haya upesi ili ajue kwamba Tanzania hii yetu bila Simba SC bado haijakamilika:

1. Tugomee kwenda Taifa kuangalia mpira
2. Na ikitokea tukaenda basi dakika zote 90 tuizomee Taifa Stars na kuishangilia Timu ngeni
3. Ikiwezekana tumtafutie Mganga wa Kienyeji mahiri amroge hadi aione Tanzania chungu na akimbie
4. Na ikitokea akaita tena Wachezaji wa Simba SC basi wajitahidi wawe wanazitafuta Kadi Nyekundu kwa makusudi ili Kuihujumu Timu ili achukiwe na afukuzwe upesi
5. Kuanzia leo tutangaze rasmi kuwa Adui namba moja wa Simba SC ni Tapeli Amunike kutoka Nigeria

Atatutambua Simba SC!
Acha useng wewe.... Wachezaji wamechelewa kuripoti kambini kwa mda walioambiwa.... Unataka u mwinyi kwenye masuala ya kitaifa... Wapigwe ban mazima....
Mafanikio yanaendana na nidhamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hapana nidhamu ndio imewagawa, wapo washabiki wa wahuni na washabiki wa mpira halisi.

huwezi endelea kisoka ukiwa huna nidhamu
Uwezo ndio unacheza mpira sio nidhamu pekee!
Laiti ingekuwa nidhamu tungewatumia waliolazwa ward ya mortuary.
 
Back
Top Bottom