Simba Sc kusimamisha nchi kesho saa 7 mchana

Simba Sc kusimamisha nchi kesho saa 7 mchana

Timu inakuwa na wachezaji wazoefu but inajikita kusajili vijana wadogo zaidi..wazoefu wasajiliwe but wadogo wapewe kipaumbele...tuachane na mihemko sjui ya kuleta wabrazil coco wenye miaka 31 wakati kuna watoto pale mtigwa wanamiaka 19 na kiwango kuliko hao wazee waki brazil
Wakiwekwa wadogo mnaanza ooooh timu haina wazoefu... inatakiwa wawekwe watu waliocheza mech nyingii....

Nyie watu embu acheni watu wafanye kazi zao... ukitaka mabadiliko tafuta nafasu nawe uwepo pale......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mi nishabiki wa simba but nauhakika kabisa hakuna jipya lolote...simba sikuhz kuna wazee pale kwenye uongozi ambao hawajui chochote kuhusu mpira,ndo yaleyale ya kutuletea wale wabrazil coco
Wana Nazi ya kumpiga MO majungu
 
unataka tu kuleta ubishi usio na maana mkuu..mimi ni shabiki wa simba damudamu but inatakiwa viongozi wabadilike,wajitahidi kutafuta wachezaji wazuri wenye umri mdogo ili hichi kizazi cha kina boko,nyoni na kina kagere kikiondoka tuwe na timu nzuri yenye vijana waliokaa pamoja mda mrefu na sio kutuletea wale wazee wa brazil ambao hata kiwango chao hakiridhishi...masuala ya kufanya mambo kienyeji enyeji tuwaachie utopolo fc
Wewe umejuaje Kama hawajabadilika? Wameshatangaza usajiri upi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhanii mnakumbukaaa hii
Morrison.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpira wa Tanzania ni sawa na filamu za maigizo ya kina Senga, Bambo na Mtanga.

Hakuna la maana zaidi ya vichekesho na wachumia tumbo



"Not everything is for everybody"
 
Back
Top Bottom