Nitake radhi mkuu mimi Simba damu damu sema tu kile kichapo kilinikata Morali, Bore kufungwa na Ndanda 10 bila kuliko kufungwa na Vyura watembeza bakuli alafu yule kocha chenga Hamna kitu paleusifungwe we nani. nitajie timu moja duniani ambayo haijawahi kufungwa. utakuwa shabiki mandazi we jamaa
Amesahau ni miaka mingapi tumemfungausifungwe we nani. nitajie timu moja duniani ambayo haijawahi kufungwa. utakuwa shabiki mandazi we jamaa
Wakiwekwa wadogo mnaanza ooooh timu haina wazoefu... inatakiwa wawekwe watu waliocheza mech nyingii....
Nyie watu embu acheni watu wafanye kazi zao... ukitaka mabadiliko tafuta nafasu nawe uwepo pale......
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuona mnyero fckesho tukichelewa hata dakika moja utopolo wataanza kulalamika
MorrisonTokea tufungwe na Vyura sina tena kiburi cha kupiga kelele kisa Simba
Usimpangie Mnyero mwenzako kusikitikia kile kipigo cha 8 Marchusifungwe we nani. nitajie timu moja duniani ambayo haijawahi kufungwa. utakuwa shabiki mandazi we jamaa
Wana Nazi ya kumpiga MO majungumi nishabiki wa simba but nauhakika kabisa hakuna jipya lolote...simba sikuhz kuna wazee pale kwenye uongozi ambao hawajui chochote kuhusu mpira,ndo yaleyale ya kutuletea wale wabrazil coco
Wewe umejuaje Kama hawajabadilika? Wameshatangaza usajiri upi?unataka tu kuleta ubishi usio na maana mkuu..mimi ni shabiki wa simba damudamu but inatakiwa viongozi wabadilike,wajitahidi kutafuta wachezaji wazuri wenye umri mdogo ili hichi kizazi cha kina boko,nyoni na kina kagere kikiondoka tuwe na timu nzuri yenye vijana waliokaa pamoja mda mrefu na sio kutuletea wale wazee wa brazil ambao hata kiwango chao hakiridhishi...masuala ya kufanya mambo kienyeji enyeji tuwaachie utopolo fc
Tarehe 8 hiyo, siku ya kukojoza π π π
wewe umejuaje kuwa wamebadilika??
Mikia ni misukule ya mo na genge lakeHii misukule ya Mbumbumbu fc kila siku inafanywa mapoyoyo saa 10 hakuna lolote
Sent using Jamii Forums mobile app