Wewe una matatizo ya akili siyo bure, wachezaji wazawa ambao ni wapenzi wa kuzaliwa wa Simba na Yanga wameshacheza timu tofauti na anayoipenda.
Kwa uchache tu Zamoyoni Mogela alikwenda Yanga, na Thomas Kipese alicheza Yanga, hawa wote ni Simba damu.
Ukiandika ushuzi huu siku nyingine kwa watu wenye akili utachekwa. mazoki na Simba au Yanga wapi na wapi, hao wanatafuta pesa tu.
Mtu kama Chama akienda Yanga atacheza namba ya nani? Kama Aziz Ki anaanzia benchi mtu kama Chama si hata jezi atakuwa havai?