Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Zamoyoni sijui zaFigo hakusaidii chochote kujibu hoja yangu, wala swala la kutanguliana kuzaliwa sio issue hususani kwenye karne yenye ukuaji wa tehama ambayo hata mtoto wa miaka 9 anaweza kumprove wrong mzee wa miaka 60 kwenye habari ambayo inazungumzia tukio la miaka 30 iliyopitaAkina Zamoyoni huyo alikuwa hajazaliwa. Muulize Mrisho Ngasa hakucheza simba? Muulize anamjua athuman Chuji je hakucheza simba? Muulize anamjua kelvin yondani na je hakucheza simba? Muulize anamjua kaseja? Je hakucheza Yanga? Muulize anamjua boban na je hakucheza yanga?
Hao wachezaji uliowataja kama references ukiangalia wote hao hawakua kwenye competition ya kuwaniwa na hizo timu uliziozitaja, wengine hapo walitolewa kwa mikopo na timu zao kwenda kwenye timu zingine means mchezaji hakuwa na option