Ni kweli kabisa chama labd awe anawebeba wenzie vifaa, lile ni galasa tu yanga hapati namba. Vete ala mierda.Mtu kama Chama akienda Yanga atacheza namba ya nani?.kama Aziz Ki anaanzia benchi mtu kama Chama si hata jezi atakuwa havai?
Tatizo nyie mnaishi na vinyesi kwenye sarawili zenu hamchambiTatizo hawa ndugu zetu wanakula sana ngada
Sio wewe hapo ni ngadaTatizo nyie mnaishi na vinyesi kwenye sarawili zenu hamchambi
Ongezea na Sanifu LazaroAkina Zamoyoni huyo alikuwa hajazaliwa. Muulize Mrisho Ngasa hakucheza simba? Muulize anamjua athuman Chuji je hakucheza simba? Muulize anamjua kelvin yondani na je hakucheza simba? Muulize anamjua kaseja? Je hakucheza Yanga? Muulize anamjua boban na je hakucheza yanga?
We ulisikia wapi hayo mambo yaani mtu aache hela kisa mapenzi ya timu?Ngoja nikufahamishe kama ulikuwa haujui
Management ya Yanga ilimfata Manzoki kutaka kumsajiri lakini Manzoki alikataa.
Alikataa kwasababu Club yake anayoipenda ni Simba, ni kama ilivyotokea owa Chama Yanga walipojaribu kumfuata.
Manzoki anaikibali Simba na ndio maana aliweka ahadi ya kuwa asipokuwa top scorer atarudisha pesa za usajili.
Na sasa watu tunafatilia ligi ya china, Manzoki mechi nne sasa hajacheza, hafurahii kuwa kule, ni muda tu unasubiriwa aje dirisha dogo.
Wewe ni kinyesiSio wewe hapo ni ngada
Kwani wewe ni mgeni humu jukwaani kiasi cha kushindwa kabisa kumtambua Popoma mbobevu?Sasa kama hayana uhakika kwanini unakurupuka?
Acha porojo wewe! Huyo Manzoki alikuambia hivyo, au na wewe umeshakuwa popoma kama mtoa mada?Ngoja nikufahamishe kama ulikuwa haujui
Management ya Yanga ilimfata Manzoki kutaka kumsajiri lakini Manzoki alikataa.
Alikataa kwasababu Club yake anayoipenda ni Simba, ni kama ilivyotokea owa Chama Yanga walipojaribu kumfuata.
Manzoki anaikibali Simba na ndio maana aliweka ahadi ya kuwa asipokuwa top scorer atarudisha pesa za usajili.
Na sasa watu tunafatilia ligi ya china, Manzoki mechi nne sasa hajacheza, hafurahii kuwa kule, ni muda tu unasubiriwa aje dirisha dogo.
Kwa nini asiende iwapo hao Azam wamefuata taratibu zote za kumsajili! Mbona Fei Toto huyo huyo alipotoka timu yake ya JKU kule Zanzibar ili kuja kutafuta malisho bora huku Bara, kituo cha kwanza kilikuwa ni Msimbazi!! (Na hii ni kwa mujibu wa mahojiano yake mwenyewe aliyofanya na Azam Tv)!!Feisal anatakiwa na azam kwa mapesa mengi,unahisi ataenda azam??
Popoma on da beat
Mogela alienda yanga Kwa sababu baadhi ya viongozi wa Simba walimkataa na Wala sio sababu ya pesa.Wewe una matatizo ya akili siyo bure, wachezaji wazawa ambao ni wapenzi wa kuzaliwa wa Simba na Yanga wameshacheza timu tofauti na anayoipenda.
Kwa uchache tu Zamoyoni Mogela alikwenda Yanga, na Thomas Kipese alicheza Yanga, hawa wote ni Simba damu.
Ukiandika ushuzi huu siku nyingine kwa watu wenye akili utachekwa. mazoki na Simba au Yanga wapi na wapi, hao wanatafuta pesa tu.
Mtu kama Chama akienda Yanga atacheza namba ya nani? Kama Aziz Ki anaanzia benchi mtu kama Chama si hata jezi atakuwa havai?
charsmatic fela pure talentedKwani wewe ni mgeni humu jukwaani kiasi cha kushindwa kabisa kumtambua Popoma mbobevu?
Na sio yeye tu hadi MiquisonHii kusema hafurahii maisha ya China una ushahidi nalo? Amesema kuwa hafurahii? Au ni wewe tu hisia zako?
Vikwazo vilikuwa ni Management ya Vipers na sio yeyeAngeipenda Simba angeenda China?
Post nzima unajichekesha nashindwa hata nikujibu vipiWewe umekaririshwa eti, Nani kakwambia mbele ya pesa unatanguliza mapenzi? Uyo Manzoki unaemsema anaipenda Simba tu alizaliwa nayo? Mnaokoteza habari za udaku uko mitaani na propaganda za mitandaoni mnaleta hapa jukwaani, Sasa akisajiliwa yanga utasemaje labda kwa mfano, Eti yanga walimfata akakataa yani mashabiki wa umbumbuni mnalishwa matango pori na nyie mnaingia mazima matokeo yake akisajiliwa yanga ndio wengine mnaanza maandamano kumtaka babra ajiuzulu akiwauliza ni nani aliwaambia wanamsajili manzoki mnaleta reference za mitandaoni🤣🤣
Nilitaka nikujibu nikajua upo serious ila paragraph yako ya mwisho imeonesha post yako yote umeiandika kiutaniWewe una matatizo ya akili siyo bure, wachezaji wazawa ambao ni wapenzi wa kuzaliwa wa Simba na Yanga wameshacheza timu tofauti na anayoipenda.
Kwa uchache tu Zamoyoni Mogela alikwenda Yanga, na Thomas Kipese alicheza Yanga, hawa wote ni Simba damu.
Ukiandika ushuzi huu siku nyingine kwa watu wenye akili utachekwa. mazoki na Simba au Yanga wapi na wapi, hao wanatafuta pesa tu.
Mtu kama Chama akienda Yanga atacheza namba ya nani? Kama Aziz Ki anaanzia benchi mtu kama Chama si hata jezi atakuwa havai?
Cristiano Ronaldo pamoja na pesa aliyonayo hawezi cheza kwa mapenzi ijekua huku kwetu tunaopambana kujitoa kwenye umasikini! be serious pleaseVikwazo vilikuwa ni Management ya Vipers na sio yeye