Simba SC 'mdhibitini' upesi sana Zackaria Hanspope na huu 'Uzushi' wake hukusu akina Chama, Miquissone na Bwalya atatuharibia

Japo Mimi ni mwana Simba SC na Wewe ni Mwana Yanga SC ila hapa Mkuu umeandika ukweli mtupu na nitamshangaa Mtu wa Simba SC akipinga.
Mashabiki uchwara watakua wanakuchukia sana

leo ukisema simba haina beki ya kati nzuri. wanakuja na matusi

Viongozi wa simba waliondoka kabla ya mpira kuisha. nadhani walikua wana ona aibu kwa sababu ya maneno yao kwenye media

NB. Mpira hauchezwi mdomoni
 
Yaani wewe unakereka kuliko Hans anayetoa fedha zake?! Duh vituko haviwezi kuisha
 
Ulishasahau kama uligongwa 4 na huyu chama akisumbua vilivyo
 
Yaani wewe unakereka kuliko Hans anayetoa fedha zake?! Duh vituko haviwezi kuisha
'Pimbi' mkubwa Wewe huyo 'Basha' wako anatoa Pesa zake wapi? Ndiyo huwa anakudanganya ukiwa nae Kitandani 'anakugeuzageuza' kama 'Chapati' za Maji? Tena usitake 'Kunitibua' na nikakutolea 'Siri' zake 'Kibao' tu za 'Madhaifu' yake ambazo huwa nazipata mara kwa mara kutokea kwa Watu wake wa karibu kabisa pale katika 'Baa' yake ya 'Silver Pipe' Kawe Avacado mkabala ya Triple Seven Hotel sawa? Tena kaa Kimya!

Kama kuna Mtu 'Tapeli' na ameshiriki pia 'Kuiharibu' Simba SC ni huyu huyu 'Basha' wako 'Mipama' na najua kuna 'Wapumbavu' kama Wewe ameshawashikieni 'Akili' zenu mbovu. Hanspoppe akiwa anatoa Hela zake kwa Simba SC Mohammed Mo Dewji Yeye atakuwa anatoa nini? au Mzee Bakhressa japo ana Timu yake ya Azam FC lakini bado ni Mmoja wa 'Wafadhili' wakubwa tu wa Simba SC yako je, unalijua hili 'Juha' Wewe?

Isingekuwa tu 'Huruma' ya anayekutawala 'Kikatiba' sasa hapa Tanzania kuwa ni Mwanasimba Mwenzetu sasa hivi huyu Mipama ( Hanspoppe ) wako angekuwa ndani ( Jela ) kwa Makosa yake Mawili makubwa moja liko chini ya TRA na lingine lipo chini ya TFF na bahati nzuri hata 'dossier' ya 'Mapungufu' yake Mamlaka husika inayo. Sasa kama Yeye ni Jeuri mbona hivi leo anahangaika kutaka Kuwaomba Msamaha hao Wachezaji?

Wakati Wewe 'ukimshobokea' huyu Hanspoppe wako, ila Mimi nimeshawahi Kujitoa 'Muhanga' kwa Klabu yangu Kushinda Mechi zake zote Muhimu.
 
Chama ndio MVP wa msimu uliopita (kuwa na kumbukumbu)

Mpaka hivi sasa hakuna mchezaji yeyote pale Yanga anamzidi kitakwimu Chama msimu huu. (2 goal + 5 assist)


Kuwa na adabu
 
Baki kwenye rede ndio size yako
 
Chama ndio MVP wa msimu uliopita (kuwa na kumbukumbu)

Mpaka hivi sasa hakuna mchezaji yeyote pale Yanga anamzidi kitakwimu Chama msimu huu. (2 goal + 5 assist)


Kuwa na adabu
huyu chama anatamba mechi ndogo rejea mechi za nyuma na yanga ipi amewahi tamba.
 
Ulishasahau kama uligongwa 4 na huyu chama akisumbua vilivyo
nakumbuka mkuu ile mechi mliyo muhonga morison akacheza chini ya kiwango baada ya kuwapiga mechi ya awali.
 
Wapumbavu Sana hawa Mikia ya mbwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…