Kwahiyo kucheza chini ya kiwango kwa Morrison kunahusiana vipi na kiwango cha dr chama? [emoji23] [emoji23] Au Morrison alikuwa DM?nakumbuka mkuu ile mechi mliyo muhonga morison akacheza chini ya kiwango baada ya kuwapiga mechi ya awali.
Zuchu katika ubora wako, najua hiki kipaji cha kuchamba umerithi kwa mama yako Malkia wa Mipasho Khadija Kopa,'Pimbi' mkubwa Wewe huyo 'Basha' wako anatoa Pesa zake wapi? Ndiyo huwa anakudanganya ukiwa nae Kitandani 'anakugeuzageuza' kama 'Chapati' za Maji? Tena usitake 'Kunitibua' na nikakutolea 'Siri' zake 'Kibao' tu za 'Madhaifu' yake ambazo huwa nazipata mara kwa mara kutokea kwa Watu wake wa karibu kabisa pale katika 'Baa' yake ya 'Silver Pipe' Kawe Avacado mkabala ya Triple Seven Hotel sawa? Tena kaa Kimya!
Kama kuna Mtu 'Tapeli' na ameshiriki pia 'Kuiharibu' Simba SC ni huyu huyu 'Basha' wako 'Mipama' na najua kuna 'Wapumbavu' kama Wewe ameshawashikieni 'Akili' zenu mbovu. Hanspoppe akiwa anatoa Hela zake kwa Simba SC Mohammed Mo Dewji Yeye atakuwa anatoa nini? au Mzee Bakhressa japo ana Timu yake ya Azam FC lakini bado ni Mmoja wa 'Wafadhili' wakubwa tu wa Simba SC yako je, unalijua hili 'Juha' Wewe?
Isingekuwa tu 'Huruma' ya anayekutawala 'Kikatiba' sasa hapa Tanzania kuwa ni Mwanasimba Mwenzetu sasa hivi huyu Mipama ( Hanspoppe ) wako angekuwa ndani ( Jela ) kwa Makosa yake Mawili makubwa moja liko chini ya TRA na lingine lipo chini ya TFF na bahati nzuri hata 'dossier' ya 'Mapungufu' yake Mamlaka husika inayo. Sasa kama Yeye ni Jeuri mbona hivi leo anahangaika kutaka Kuwaomba Msamaha hao Wachezaji?
Wakati Wewe 'ukimshobokea' huyu Hanspoppe wako, ila Mimi nimeshawahi Kujitoa 'Muhanga' kwa Klabu yangu Kushinda Mechi zake zote Muhimu.
Kabisa yan, muda mwingine mtu anaweza kuwa physical fit ila akawa hayupo ktk fomu nzuri, mzee anazinguaPope anafikiri wale sio binadamu..
Sio kila mechi watacheza poa, sometime mambo yanagoma.. Asilete kitambi kwenye soka
Kweli kabisa, yaan walivohonga kina morrison yo dan abdul wakatupiga 4 wakadhan kweli wana uwezo wa kuifunga yangaanalalamika bure,mechi ipi ya yanga chama amewahi onekana. huyu anatamba kwenye vitimu vidogo.
hao wengine mtatafuta sababu tu mara ndo derby ya kwanza kwani T.K,Mukoko, sarpong ni ya ngapi kwao hao wenu ni uwezo mdg wa mechi za kibwege bwege
yanga ahongi anakukimbiza kibabe sio kama mlivyo muhonga morrison mkashinda kibwege jana babu onyango anakamata miguu mnakataa sio penati mbumbumbu bwana
Amri Kiemba anamuelewa vzuri huyo Hans Pop.Namkubali na namuheshimu mno Hanspoppe ila naona sasa amezidi na ikiwezekana sasa Yeye ndiyo awaombe Radhi upesi hawa Wachezaji Wetu.
Nyie 4G, 5G sio ugeni kwenu...Kweli kabisa, yaan walivohonga kina morrison yo dan abdul wakatupiga 4 wakadhan kweli wana uwezo wa kuifunga yanga
Umewahi kumsikia Abromovic akiongea utumbo kama uleYaani wewe unakereka kuliko Hans anayetoa fedha zake?! Duh vituko haviwezi kuisha
Ule ni mpira biriani!Nina miaka kama 25 tangu nimeangalia game kati ya timu hizi 2 (iwe live uwanjani ama kwenye runinga). Jana nimeangalia runingani nimekuwa extremely disappointed na sitakuja kurudia tena kupoteza time yangu kuangali hii game.
Kwa kelele ninazoziona na kuzisikia kwenye media kuhusu vilabu hivi siku hizi nilidhani zinapiga mpira fulani babu kubwa.... lakini jana nime confirm kwamba hivi vilabu 2 ni kama roho fulani ya kishetani imewaingia watu kuvishabikia blindly kama misukule.
Ndiyo mpira gani ule?
Haujui mpira wewe umeshawahi ona wapi derby ina ufundiNina miaka kama 25 tangu nimeangalia game kati ya timu hizi 2 (iwe live uwanjani ama kwenye runinga). Jana nimeangalia runingani nimekuwa extremely disappointed na sitakuja kurudia tena kupoteza time yangu kuangali hii game.
Kwa kelele ninazoziona na kuzisikia kwenye media kuhusu vilabu hivi siku hizi nilidhani zinapiga mpira fulani babu kubwa.... lakini jana nime confirm kwamba hivi vilabu 2 ni kama roho fulani ya kishetani imewaingia watu kuvishabikia blindly kama misukule.
Ndiyo mpira gani ule?
Mkuu jikusanyeni mtop up mshahara wa chama uwe sawa au amzidi morison. Vinginevyo atasepa mbaki mnatafuta mchawiNyie 4G, 5G sio ugeni kwenu...
analalamika bure,mechi ipi ya yanga chama amewahi onekana. huyu anatamba kwenye vitimu vidogo.
hao wengine mtatafuta sababu tu mara ndo derby ya kwanza kwani T.K,Mukoko, sarpong ni ya ngapi kwao hao wenu ni uwezo mdg wa mechi za kibwege bwege
yanga ahongi anakukimbiza kibabe sio kama mlivyo muhonga morrison mkashinda kibwege jana babu onyango anakamata miguu mnakataa sio penati mbumbumbu bwana
ya 4-1analalamika bure,mechi ipi ya yanga chama amewahi onekana. huyu anatamba kwenye vitimu vidogo.
Umesema nina 'Chembechembe' za 'Ushoga' halafu hapo hapo tena unajitapa ( unajimwambafai ) kabisa kuwa Wewe ni 'Baharia' wakati Wenzako Watoto wa 'Down Town' tunajua ukijiita 'Baharia' tayari umeshajitanabaisha na kujihalalisha kuwa Wewe ni 'Shoga Mwandamizi' hivyo ulichokifanya hapa ni 'Kututhibitishia' tu hivyo nakupa 'Hongera' mno.Wewe una chembechembe za ushoga,
Acha u-much know kenge wewe, huna ulijualo usidanganye watu.. [emoji23] [emoji23], alafu wewe ni mshamba sana mdogo wangu! Utawadanganya wapuuzï wenzio wachache sana,
Mabaharia wanakuchora tu, unapenda sana kuropokaropoka wakati kichwani hamna kitu,
Jikaze mdogo wetu utapigwa hewa ya mgongo!
Kazi yako ni kushinda msimbazi nje pale mnajazana ujinga then unakuja kuharisha humu,
Mazafanta
Wasted Sperm.Kwahiyo kucheza chini ya kiwango kwa Morrison kunahusiana vipi na kiwango cha dr chama? [emoji23] [emoji23] Au Morrison alikuwa DM?
Bakuli Fc ndio kazi yenu hiyo...Mkuu jikusanyeni mtop up mshahara wa chama uwe sawa au amzidi morison. Vinginevyo atasepa mbaki mnatafuta mchawi
Kwa hiyo Yanga nyie mnafurahia droo??Mmetoa droo mshaanza kufarakana. Tungewapiga ingekuwaje?