Simba SC 'mdhibitini' upesi sana Zackaria Hanspope na huu 'Uzushi' wake hukusu akina Chama, Miquissone na Bwalya atatuharibia

Simba SC 'mdhibitini' upesi sana Zackaria Hanspope na huu 'Uzushi' wake hukusu akina Chama, Miquissone na Bwalya atatuharibia

nakumbuka mkuu ile mechi mliyo muhonga morison akacheza chini ya kiwango baada ya kuwapiga mechi ya awali.
Kwahiyo kucheza chini ya kiwango kwa Morrison kunahusiana vipi na kiwango cha dr chama? [emoji23] [emoji23] Au Morrison alikuwa DM?
 
'Pimbi' mkubwa Wewe huyo 'Basha' wako anatoa Pesa zake wapi? Ndiyo huwa anakudanganya ukiwa nae Kitandani 'anakugeuzageuza' kama 'Chapati' za Maji? Tena usitake 'Kunitibua' na nikakutolea 'Siri' zake 'Kibao' tu za 'Madhaifu' yake ambazo huwa nazipata mara kwa mara kutokea kwa Watu wake wa karibu kabisa pale katika 'Baa' yake ya 'Silver Pipe' Kawe Avacado mkabala ya Triple Seven Hotel sawa? Tena kaa Kimya!

Kama kuna Mtu 'Tapeli' na ameshiriki pia 'Kuiharibu' Simba SC ni huyu huyu 'Basha' wako 'Mipama' na najua kuna 'Wapumbavu' kama Wewe ameshawashikieni 'Akili' zenu mbovu. Hanspoppe akiwa anatoa Hela zake kwa Simba SC Mohammed Mo Dewji Yeye atakuwa anatoa nini? au Mzee Bakhressa japo ana Timu yake ya Azam FC lakini bado ni Mmoja wa 'Wafadhili' wakubwa tu wa Simba SC yako je, unalijua hili 'Juha' Wewe?

Isingekuwa tu 'Huruma' ya anayekutawala 'Kikatiba' sasa hapa Tanzania kuwa ni Mwanasimba Mwenzetu sasa hivi huyu Mipama ( Hanspoppe ) wako angekuwa ndani ( Jela ) kwa Makosa yake Mawili makubwa moja liko chini ya TRA na lingine lipo chini ya TFF na bahati nzuri hata 'dossier' ya 'Mapungufu' yake Mamlaka husika inayo. Sasa kama Yeye ni Jeuri mbona hivi leo anahangaika kutaka Kuwaomba Msamaha hao Wachezaji?

Wakati Wewe 'ukimshobokea' huyu Hanspoppe wako, ila Mimi nimeshawahi Kujitoa 'Muhanga' kwa Klabu yangu Kushinda Mechi zake zote Muhimu.
Zuchu katika ubora wako, najua hiki kipaji cha kuchamba umerithi kwa mama yako Malkia wa Mipasho Khadija Kopa,
[emoji1787] [emoji1787]

Acha ushamba

Mwanaume haongei sana, unaidhalilisha jinsia kihande wewe,
Unajifanya una uchungu na timu ukute hata kadi ya upenzi tu huna nini ya uanachama[emoji15][emoji15]
Acha ushamba

Uache kudanganya watu kima wewe,
Mimi simtetei huyo Hans Pope kwa alilolifanya ila wewe kujifanya una uchungu sana kuliko waliopo ndani ya timu, kabla ya dewji hii timu ilikuwa inaendeshwa na nani? Kama sio hao FoS, hata kama waliiba, kuna asiyepiga nchi hii,

Acha ushamba,

kutaja bar yake iliyopo avocado ndio tutaamini unamjua sana, au wewe mchepuko wake! Au mkewe?
Hasira zako za chumbani na mipama usituletee huku, kama amekukopa malizana nae hukohuko

Acha ushamba....
 
huyu mzee ameisha zeeka, na tena amezeeka vibaya, hivyo ni bora akaacha kabisa kutuumia ule 'mmea' akae alee wajukuu zake vizuri na huo mmea atuaachie vijana, huu ni ushauri wangu wa bure kwake najua huwa anapita pita humu…..
 
Pope anafikiri wale sio binadamu..

Sio kila mechi watacheza poa, sometime mambo yanagoma.. Asilete kitambi kwenye soka
Kabisa yan, muda mwingine mtu anaweza kuwa physical fit ila akawa hayupo ktk fomu nzuri, mzee anazingua
 
analalamika bure,mechi ipi ya yanga chama amewahi onekana. huyu anatamba kwenye vitimu vidogo.

hao wengine mtatafuta sababu tu mara ndo derby ya kwanza kwani T.K,Mukoko, sarpong ni ya ngapi kwao hao wenu ni uwezo mdg wa mechi za kibwege bwege

yanga ahongi anakukimbiza kibabe sio kama mlivyo muhonga morrison mkashinda kibwege jana babu onyango anakamata miguu mnakataa sio penati mbumbumbu bwana
Kweli kabisa, yaan walivohonga kina morrison yo dan abdul wakatupiga 4 wakadhan kweli wana uwezo wa kuifunga yanga
 
Hans pope na wenzake walitaka kumpindua Nyerere wamekaa Ukonga miaka kumi hadi Mwinyi alivyowatoa..atakuwa kichaa jela sio mchezo
 
Nina miaka kama 25 tangu nimeangalia game kati ya timu hizi 2 (iwe live uwanjani ama kwenye runinga). Jana nimeangalia runingani nimekuwa extremely disappointed na sitakuja kurudia tena kupoteza time yangu kuangali hii game.

Kwa kelele ninazoziona na kuzisikia kwenye media kuhusu vilabu hivi siku hizi nilidhani zinapiga mpira fulani babu kubwa.... lakini jana nime confirm kwamba hivi vilabu 2 ni kama roho fulani ya kishetani imewaingia watu kuvishabikia blindly kama misukule.

Ndiyo mpira gani ule?
Ule ni mpira biriani!
Siku hizi Simba na Yanga zimeacha kucheza mpira uwanjani, zimebakia maneno matupu.
 
Nina miaka kama 25 tangu nimeangalia game kati ya timu hizi 2 (iwe live uwanjani ama kwenye runinga). Jana nimeangalia runingani nimekuwa extremely disappointed na sitakuja kurudia tena kupoteza time yangu kuangali hii game.

Kwa kelele ninazoziona na kuzisikia kwenye media kuhusu vilabu hivi siku hizi nilidhani zinapiga mpira fulani babu kubwa.... lakini jana nime confirm kwamba hivi vilabu 2 ni kama roho fulani ya kishetani imewaingia watu kuvishabikia blindly kama misukule.

Ndiyo mpira gani ule?
Haujui mpira wewe umeshawahi ona wapi derby ina ufundi
 
Huyu Hanspoppe amezoea kumwona Chama akicheza ba timu kama Ihefu Mwadui hapo anaonyesha ufundi mwingi chukua mtu kama Tonombe akiwa pale Chama atapitia wapi halafu anasema simba haiwezi kufungwa na timu yoyote ameisahau Prison na Ruvu shooting huyu Hans amezoea fujo
 
Wanaojua hawana hasira.
Hilo jina mbumbumbu linakufaa sana wewe mwenyewe kwa kuwa unajisifu na timu ya vijana iliyofungwa na babu!

Najua una hasira na goli la kibabe la babu
analalamika bure,mechi ipi ya yanga chama amewahi onekana. huyu anatamba kwenye vitimu vidogo.

hao wengine mtatafuta sababu tu mara ndo derby ya kwanza kwani T.K,Mukoko, sarpong ni ya ngapi kwao hao wenu ni uwezo mdg wa mechi za kibwege bwege

yanga ahongi anakukimbiza kibabe sio kama mlivyo muhonga morrison mkashinda kibwege jana babu onyango anakamata miguu mnakataa sio penati mbumbumbu bwana
 
Wewe una chembechembe za ushoga,

Acha u-much know kenge wewe, huna ulijualo usidanganye watu.. [emoji23] [emoji23], alafu wewe ni mshamba sana mdogo wangu! Utawadanganya wapuuzï wenzio wachache sana,
Mabaharia wanakuchora tu, unapenda sana kuropokaropoka wakati kichwani hamna kitu,
Jikaze mdogo wetu utapigwa hewa ya mgongo!
Kazi yako ni kushinda msimbazi nje pale mnajazana ujinga then unakuja kuharisha humu,
Mazafanta
Umesema nina 'Chembechembe' za 'Ushoga' halafu hapo hapo tena unajitapa ( unajimwambafai ) kabisa kuwa Wewe ni 'Baharia' wakati Wenzako Watoto wa 'Down Town' tunajua ukijiita 'Baharia' tayari umeshajitanabaisha na kujihalalisha kuwa Wewe ni 'Shoga Mwandamizi' hivyo ulichokifanya hapa ni 'Kututhibitishia' tu hivyo nakupa 'Hongera' mno.

Kuhusu Mimi kuwa sijui 'Much Know' wala hujakosea na labda nikuambie tu kuwa ninajua mambo mengi na vitu vingi na wala sitoacha kuwa 'Much Know' hivi kama nikiwa 'Hai' na nikiendelea kuwa 'JamiiForums Member' sawa? Hivi kama Mimi napenda sana kuwa 'Rich in Knowledge' tena 24/7 kwa kupenda Kusoma, Kusikiliza na Kutizama Habari, Kujichanganya na Watu tena Authoritative, Credible and Reliable huku nikiwa Mtu wa 'Jamii' na 'Exposure' ya 'Wastani' niliyonayo ya maeneo mbalimbali hapa Duniani GENTAMYCINE nitaacha kuwa 'Mjuvi' wa Kutukuka?

Kuhusu Mimi kushinda Msimbazi wala hujakosea nashinda kweli kwakuwa Mimi ni mwana Simba SC wa ndani kabisa na huwa najitoa 'Mhanga' ishinde. Na mwisho kabisa ili nikuonyeshe kuwa GENTAMYCINE ni habari nyingine na ukijifanya Wewe ni Simba SC na huyo Pimbi na Basha wako Hanspoppe ( Mipama ) kuna Jambo limetokea leo Msimbazi juu ya Mchezaji Chama, CEO Gonzalez na Hanspoppe wako je, unalijua?

Pumbavu!
 
Kuna uwezekano ni yeye ndiye aliyekula mlungula wa kuhakikisha Chama na Bwalya wanaenda kule!

Huyu Muhehe sio wa kuamini sana! Muhuni tu sema uzee ndio unaongopea.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom