GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nimesikitika sana kama siyo mno Kumsikia leo mchana kupitia Kipindi cha Michezo cha Clouds FM Jumapili Mchana 'akiwashutumu' wazi wazi Wachezaji akina Clatous Chama, Luis Miquisonne na Larry Bwalwa kuwa Jana walicheza chini ya Kiwango na kwamba wanatakiwa 'Wahojiwe' kwani kuna uwezekano 'Wameihujumu' Klabu kwa 'Kuhongwa' na Yanga SC.
Nilikuwa sijui kuwa kumbe Mzee Hanspoppe ni 'mtupu' hivi Kichwani kwani ameshindwa tu kujua kuwa jana Chama amecheza akiwa na Majeraha ya Mechi ya Kagera Sugar, Luis Miquissone ndiyo aliyepiga Kona iliyozaa Goli lililotuokoa na 'Aibu' na Larry Bwalya jana ilikuwa ndiyo 'Derby' yake ya Kwanza hapa Tanzania.
Simba SC henu mfungeni 'Speed Governor' ya Mdomo huyu Hanspoppe kwani siyo 'Siri' ni 'Mvurugaji' na atatuharibia Klabu yetu. Amenikera sana.
Nilikuwa sijui kuwa kumbe Mzee Hanspoppe ni 'mtupu' hivi Kichwani kwani ameshindwa tu kujua kuwa jana Chama amecheza akiwa na Majeraha ya Mechi ya Kagera Sugar, Luis Miquissone ndiyo aliyepiga Kona iliyozaa Goli lililotuokoa na 'Aibu' na Larry Bwalya jana ilikuwa ndiyo 'Derby' yake ya Kwanza hapa Tanzania.
Simba SC henu mfungeni 'Speed Governor' ya Mdomo huyu Hanspoppe kwani siyo 'Siri' ni 'Mvurugaji' na atatuharibia Klabu yetu. Amenikera sana.